Naishi na maumivu ya tumbo kwa zaidi ya miaka 14

Hivi ndo inavotakiwa watu tuwe katika hii mitandao ya kijamii,watu cku hizi mitandaoni hatufanyi mambo socially kabisa.mtu akitoa wazo watu hawampi support hata ya mawazo na unakuta mtu katoa wazo zuri lenye faida.na hii mambo naiona sana humu Jf.humu kuna watu kazi zao kukatisha wenzao tamaa,nini maana ya social networks, humu mtu anaweza akatimiza mambo mengi coz humu kuna kila aina ya watu so panaweza pakawa ni sources ya watu kupeana connection, kutengeneza urafiki wa karbu,kushirikiana kwa masuala Fulani Fulani, kama hvi mtu kusaidiwa kiushauri hata Katk magonjwa mtu anaweza akapata suruhisho ya tatzo lake sugu.Jf watu wabadirike.wenzetu watatuzidi kwa mengi kama sisi kwa sisi tusipoamua kunyanyuana.
 
Pole sana. Maelezo yako yamenyoka kabisa, na hivyo ni rahisi kupata tiba sahihi. Hata hata hivyo napenda kujua yafuatayo ili niweze kuchangia maelekezo ya tiba.
1)Je, ukipata choo huwa laini au kigumu?
2)Je, mkojo una rangi hani unapokojoa?
3)Je, ni muda gani hasa maumivu yanapozidia, mchana au usiku?
Naomba majibu ya maswali hayo ili nione kama naweza kuchangia maelekezo ya tiba.
 

Choo kinakua dynamic. Kuna siku kigumu na kuna siku laini. Mkojo unakua mweupe pale ikitokea nmekunywa maji mengi ila nkinywa let say 1ltr mkojo unakua Njano.
Maumivu mara nyingi ni usiku na swala la kupata usingizi kwangu imekua mara chache sana zaid nakua najigeuza geuza tu kitandani adi ikifika alfajili ndo napata kdg.
Lakini pia kuna siku linauma mchana kutwa kutegemea kiasi gani nmeweza kupata choo
 

Ahsante ndugu Ntazingatia [emoji1488]
 

1.Pombe sinywi. Mara chache sana nakunywa Sweet Wines
2.Matunda nazingatia sana..mwanzoni yalinisaidia ila siku izi sion impact yake.
3.Style gani nzuri ya kulala mkuu?
 
Sina mkuu
Nice mkuu kama hauna ilo tatizo jaribu kucheza na maji sana na vitunguu swaumu.naamini juu ya hiyo tiba ndugu yangu.fanya kwenda kwa huo utaratibu kama ukipata unafuu utatuletea urejesho humu maana yaweza ikawa solution kwako juu ya tatizo linalokuhusu.Fanya hivyo mkuu
 
Maji na vitunguu swaumu na matunda kama ukiwa na huo uwezo wa kila cku kupata matunda hata aina mbil au tatu itafaa..ila Maji sana tumia na vitunguu swaumu
 
Hali uliyonayo inanafanana sana na hali niliuyokuwa nayo. Nilihisiwa kuwa nina dalili za vidonda vya tumbo lakini kwa vipimo havikuonekana. Baada ya kupata tiba ifuatayo nilikuwa salama kabisa:
1) Omeprazole 20mg capsules kila baada ya masaa 12.
2) Kunywa maji ya vuguvugu kila wakati hasa unapopata choo kigumu. Jihadhari sana na maji baridi.
3) Epuka kukaa na njaa kwa muda mrefu.
Ikikupendeza, nipe mrejesho baada ya kutumia tiba hiyo.
 
Pole sana mkuu, kama wadau walivyosema hapo juu jaribu kuangakia na mfumo wako wa kula.

Unaweza kumtafuta Dr Boaz Mkumbo kwa kumfatilia youtube au fb ili upate muongozo wa lishe.
 
Sawa ndugu...nmeanza juzi doze
Tumia ndani ya wiki moja afu utatupa maendeleo yatavokuwa.dawa inayofaa ndani ya cku tatu lazima uanze kuona mabadiriko so wew Fanya hiyo dose kwa wiki moja,week ikiisha naamini majibu yatapatikana.Allah akujalie ndugu uwe sawa kama zamani.Ameen Ya Rabb
 
1. Sweet wine is good for digestion....
2. Matunda gani unapendelea zaidi? Nimekaa hapa napata matunda ya jioni nmekukumbuka mdau
3. Lala umelalia tumbo au kiupande. Usipendelee kulala umeangalia juu hata upumuaji si mzuri.
1.Pombe sinywi. Mara chache sana nakunywa Sweet Wines
2.Matunda nazingatia sana..mwanzoni yalinisaidia ila siku izi sion impact yake.
3.Style gani nzuri ya kulala mkuu?
 

Mkuu naona tatizo ndo linazidi cjapata nafuu ata kidogo...kila siku ya leo nafuu ya jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…