Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 867
- 847
Habari wakuu,
Naombeni kufahamu huu ugonjwa nilionao ni ugonjwa wa namna gani?
Nikianzia hapa ni kwamba toka mwezi wa 6 mwaka jana nilikuwa najihisi kuchoka sana kwa shughuli ndogo ndogo kama kufagia mapigo ya moyo yanaenda mbio hata kufagia ndani tu nashindwa.
Nimeshaongezewa damu karibu mara tatu lakin naona hili tatzo linajirudia tena..
Nimeshapimwa sicklecell imeonekana sina na hili tatizo limeanza mwaka jana tu toka nizaliwe.
Naombeni msaada wakuu hili ni tatizo gani?
Naombeni kufahamu huu ugonjwa nilionao ni ugonjwa wa namna gani?
Nikianzia hapa ni kwamba toka mwezi wa 6 mwaka jana nilikuwa najihisi kuchoka sana kwa shughuli ndogo ndogo kama kufagia mapigo ya moyo yanaenda mbio hata kufagia ndani tu nashindwa.
Nimeshaongezewa damu karibu mara tatu lakin naona hili tatzo linajirudia tena..
Nimeshapimwa sicklecell imeonekana sina na hili tatizo limeanza mwaka jana tu toka nizaliwe.
Naombeni msaada wakuu hili ni tatizo gani?