Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 867
- 847
- Thread starter
- #21
mkuu mara tatu sasa naongezewa damu mpaka sasa nilipo naziona dalili ya kuishiwa kwasababu nachoka halaf mikono inakuwa mieupe hafu kama sipumui vzrUliongezwa damu kwa sababu ulikuwa na upungufu mkubwa wa damu uliokua unahatarisha maisha yako, madaktari waliokutibu walipaswa kukueleza sababu ya upungufu wa damu uliokua nao, Nakushauri uende hospital iliyopo karibu na wewe ukafanyiwe Vipimo watakuambia chanzo cha tatizo ulilonalo, pole sana mkuu