PHILIPLULINDA
Senior Member
- Jun 1, 2013
- 181
- 89
Naaanza kwa kutoa pongezi za dhati kwa Serikali hii iliyopo Madarakani kwa kurekebisha Matokeo ya kidato cha 4 nne,
kwa hili naomba niunge Mkono.
Sio kila jambo Serikali hii iliyofanya tubeze kwa hili Mimi nawaomba wadau wote waunge Mkono!
Asanteni sana
Nawakilisha.
kwa hili naomba niunge Mkono.
Sio kila jambo Serikali hii iliyofanya tubeze kwa hili Mimi nawaomba wadau wote waunge Mkono!
Asanteni sana
Nawakilisha.