Naishukru serikari kwa kulekebisha matokeo ya jidato cha nne hongereni sana

Naishukru serikari kwa kulekebisha matokeo ya jidato cha nne hongereni sana

PHILIPLULINDA

Senior Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
181
Reaction score
89
Naaanza kwa kutoa pongezi za dhati kwa Serikali hii iliyopo Madarakani kwa kurekebisha Matokeo ya kidato cha 4 nne,
kwa hili naomba niunge Mkono.

Sio kila jambo Serikali hii iliyofanya tubeze kwa hili Mimi nawaomba wadau wote waunge Mkono!
Asanteni sana

Nawakilisha.
 
Back
Top Bottom