Wewe ni smol haus, period.
yes mai hazbendi....
Miaka mitano ni mingi sana.....
Kuimbiwa nyimboza mapenzi tu....
Hujui anapoishi, hujui hata ndugu yake mmoja?
Kwa wapendanao wenye mapenzi ya dhati hii haiwezekani.....
Come on Asprin,
wewe mwanaume unajua....
Jinsi gani kigezo cha 'nampa talaka mke wangu'....
Au ' nimemuacha mke wangu'
au 'nitamtaliki mke wangu kwa ajili yako' inavyokuwa ni usanii mtupu....
Jinsi wanaume wanvyotumia maneno hayo ili kumlainisha mwanamke......
Ili mwanamke adhani kuwa atamilikwa yeye....
mimi shtukaaaa
hakuna kitu hapo...
Kuwa serious....kama anakuoenda atakupeleka...
Mpeleleze upajue kwake halafu uende wakati mwanaume hayupo.....
Ila hakikisha huna matatizo ya presha kabla ya kufanya hivyo....
Miaka mi5?? mamito inaonekana unatowa Sex tamu kweli kweli ila hufai kuwa wife,
ukute alioa ndani ya mahusiano yenu hayo, hayo. shtuka!
ayaaaa.....mweee....
bi dada mimi stuka....kama hujamjua vizuri mpenzio ndani ya miezi 5 na nusu tupa kule.....garasha hilo hakuna kitu.....
acha roho mbaya, mwenzio anataka umwambie ni mchumba. teh teh teh
wapendwa!
Naitaji ushauli wenu boy friend wangu wa miaka mitano hajawahi kunipeleka kwake tangu tuanze uhusiano ni tumekua tukikutana hotelini tu
Yeye anaishi Dodoma mimi naishi Moshi kwa muda wote huo wa miaka mitano
Kinachonifanya niisi anaishi na mtu Nikimuomba twende kwake uwa naniambia kua hatuwezi kwenda kwa sababu ya watoto wanaishi pale mpaka tukishaoana ndio atanipeleka kwake,hao watoto wawili alizaa na mwanamke mwingine alimuacha kwa sababu alimfumania huyo mwanamke akifanya mapenzi na mwanume mwingine nyumbani kwake
Nikimuambia tuachane analia na hataki kabisa kusikia hilo swala
Nifanyaje ndugu zangu ili nijue ukweli?nampenda sna na yeye ananipenda pia haipiti week bila ya yeye kusafiri kunifata moshi kuja kuniona na amekua ni msaada mkubwa sana wa maisha ya yangu(ki ushauli and financially) though simtegemei sana kipesa maana mimi mwenyewe najiweza kipesa
Baadhi ya wanawake mwalimu wao kipofu.Hivi wanawake mna akili gani jamani?
Hapo uliposema anakupenda sana,kidogo punguza ncha.Kwasababu,kama ingekua kweli,hao watoto angeweza hata kudanganya ni rafik yake wa kazini,au anything angalau ukapajue kwake,hata mkalala hotelin,au hata
mda ambao watoto hawapo.Incase of anything,coz i believe ur all grown ups,besides you hav a 'us future'ahead of u,so no need to hide anything. Ata ivo hao watoto sindovizuri wakuzoee,au mkioana mtahama makazi muwaache watoto.
Pili,kuna mwenzio mmoja,alikuwa akikohoa,jamaa anatoka Mwanza anamfata Arusha hata kwa ndege,siku bibie alipoamua kufatilia,akamkuta mwenzie kajaa ndani tena mjamzito,na uzuri bibie alienda as a relative wakat jamaa yupo job,akapata ukweli woote..jamaa akadai eti, ni mke wa rafik yake,but mwisho wa siku ukwel ukajulikana na kila mtu life goes on!
Samahani kama nimekuwazisha,au cjaelewa ila muhimu uwetayari 4anything,na do not force,we mwanamke bana,mlainishe kwa kipaji ulichonacho..akuelekeze kwake akigoma,kuondoa doubt moyoni,mpandie uko uko,ila ujipange 4anythng.
Kwa upande mwingine,mhh labda anasababu zaidi ya iyo,nzuri kwa manufaa yako!em jitahidi muondoe vidoa moyoni,isijeathiri how u feel 4each other!
ukipenda chongo huona kengeza! my dia mimi tumia akili hata za kuazima. . . kuna mdada m1 yeye husema hata km atawekwa kuwa small haus atahakikisha anapafahamu kwa huyo mwanaume na anamfahamu mke wa hyo mwanaume. sembuse bf lol. . .
ukiona manyoya!
acha roho mbaya, mwenzio anataka umwambie ni mchumba. teh teh teh
mimi, kwanza naomba nikusute kidogo kisha nitakwambia cha kufanya, niliwah kuuliza hili swali hapa jamvini tena nakumbuka nilimention na kuquote post ya platozoom. hivi kweli mimi wewe ni mwanamke unayejipenda kweli? Hivi kweli ya Mungu juu ya upendo ipo? Kwanini kwenu mapenzi mpaka yatawaliwe na ngono tu? kwanini lakini kufanya haya mambo kabla ya wakati wake.......!!
yan gfsonwin natamani uendelee maana huyu mdada anasikitsha ye na huyo mchumba wake wanafuata ule msemo wa kiswahili eti "mwanamke ni chombo cha sterehe'' utafkisha hadi miaka kumi hakuna cha ndoa wala pete ya uchumba!! na starehe ikishamuisha anabadilisha line ya simu tu!! uone kama utapata hata chance yakumlaumu!! hayo ni majanga mdada(mimi) anakuahdi ndoa ili uzidi kumsterehesha!! haya mi simo!!