rarely statistic can lie, Bayern kachukua UCL na kwa kikosi chake next season pia atasumbua sana....Mkuu weka akiba ya maneno.
Olympic Lyonais wameangusha miti mikubwa sana (Kibibi cha Turin[Juventus] na The Blue Moon[MCFC]).
Hawa wajumbe toka France wanajua kukaba na kufunga kwa counter attack huku wakiwa na hari ya juu.
RB Leipzig ni timu inayocheza mpira kama wa Liverpool FC hivyo PSG wanaweza kupata shida hasa kujilinda dhidi yao. PSG wanaweza kujikuta wanatumia muda mwingi kujilinda badala ya kushambulia.
Kwenye computer na kwenye makaratasi Bayern Munchen au PSG lazima watachukua ubingwa mapema tu.
Bayern ni moto uunguzao kaa nao mbali, kwa mpira aliokutana nao ATM huku akichapwa 4-0 jambo ambalo ni adimu kwa vijana wa Diego Simeone kuchezea kichapo heavy, Bayern hii si ajabu msimu huu tena akifanya yakeLyon kafanya kile ambacho hakikutarajiwa na wengi kwa kutinga nusu fainali baada ya kuwadondosha matajiri wa Manchester kwa goli 3 -1.
Sasa watakutana na wagumu wa ujerumani Bayern katika nusu fainali. Bayern ni team ngumu na wazoefu wa michuano hii hivyo nawaona wakiishinda mechi hii na moja kwa moja kutinga fainali.
PSG na Leipzig hakuna mwenye ubavu wa kuwadondosha bavarians
Fainali Bayern - PSG
Bingwa Bayern
Bayern anatupwa nje maana aggregate itasoma 3- 3 ila psg anafaida ya magoli mawili aliyomfunga bayern akiwa kwake na huku yeye kafungwa goli moja tu na bayernHv inakuaje endapo bayern atshinda goli 1 kwa 0 mechi dhidi ya Paris