hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Naitaji dish la Azam na King'amuzi chake
Nataka used kutoka kwa mtu ambae anauza
Nataka Kwa ajili ya sehemu ya biashara
Niko Dar es salaam
Mtu yoyote ambae anauza then nipm
Ukiwa na risit ya manunuzi itakuwa Bora zaidi
Au uwe na udhibitisho wa kuonesha hivyo vifaa ni vyako
Nataka used kutoka kwa mtu ambae anauza
Nataka Kwa ajili ya sehemu ya biashara
Niko Dar es salaam
Mtu yoyote ambae anauza then nipm
Ukiwa na risit ya manunuzi itakuwa Bora zaidi
Au uwe na udhibitisho wa kuonesha hivyo vifaa ni vyako