hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Salaam.
Jaman naitaji Kiwanja kwa matumizi ya makazi na biashara Mjini dodoma
Ningependa Sana ukubwa wa kiwanja uwe Sq m 1500 to 2000.
Na maeneo ambayo naitaji ni ilazo, Nkuhungu, au nje ya mji kidogo njia ya kwenda Dar au Iringa.
Kwa yeyote ambae anauza au anamjua anaeuza basi anijulishe kwa dm yangu.
Thank you
Jaman naitaji Kiwanja kwa matumizi ya makazi na biashara Mjini dodoma
Ningependa Sana ukubwa wa kiwanja uwe Sq m 1500 to 2000.
Na maeneo ambayo naitaji ni ilazo, Nkuhungu, au nje ya mji kidogo njia ya kwenda Dar au Iringa.
Kwa yeyote ambae anauza au anamjua anaeuza basi anijulishe kwa dm yangu.
Thank you