hp4510 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 7,235 Reaction score 7,392 Nov 23, 2020 #1 Salaam. Jaman naitaji Kiwanja kwa matumizi ya makazi na biashara Mjini dodoma Ningependa Sana ukubwa wa kiwanja uwe Sq m 1500 to 2000. Na maeneo ambayo naitaji ni ilazo, Nkuhungu, au nje ya mji kidogo njia ya kwenda Dar au Iringa. Kwa yeyote ambae anauza au anamjua anaeuza basi anijulishe kwa dm yangu. Thank you
Salaam. Jaman naitaji Kiwanja kwa matumizi ya makazi na biashara Mjini dodoma Ningependa Sana ukubwa wa kiwanja uwe Sq m 1500 to 2000. Na maeneo ambayo naitaji ni ilazo, Nkuhungu, au nje ya mji kidogo njia ya kwenda Dar au Iringa. Kwa yeyote ambae anauza au anamjua anaeuza basi anijulishe kwa dm yangu. Thank you
I imokola Senior Member Joined Aug 13, 2019 Posts 189 Reaction score 351 Nov 24, 2020 #2 Ninacho Kiwanja Veyula(hatua 20*30),karibu tufanye biashara,Bei ni 2,500,000,napatikana kwa Namba 0620-333409 Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ninacho Kiwanja Veyula(hatua 20*30),karibu tufanye biashara,Bei ni 2,500,000,napatikana kwa Namba 0620-333409 Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
hp4510 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 7,235 Reaction score 7,392 Nov 24, 2020 Thread starter #3 imokola said: Ninacho Kiwanja Veyula(hatua 20*30),karibu tufanye biashara,Bei ni 2,500,000,napatikana kwa Namba 0620-333409 Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app Click to expand... Umesoma vizuri tangazo langu?
imokola said: Ninacho Kiwanja Veyula(hatua 20*30),karibu tufanye biashara,Bei ni 2,500,000,napatikana kwa Namba 0620-333409 Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app Click to expand... Umesoma vizuri tangazo langu?