Naitaji kujua

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,443
Reaction score
3,002
habari za huku wakubwa....kuna kitu ningependa kujua maana nimekuwa nikisikia lakini sijui sheria zake zikoje...KWENYE CASE KAMA HII.ENDAPO bwana x kaukumiwa kwa kesi ya kumuuwa bwana y aka tumikia kifungo chake NOTE KUUWA PASIPO KUKUSUDIA,baada ya kutoka anamkuta bwana y alie ambiwa amemuuwa yu hai,je ENDAPO AKIMUUWA KIKWELI BWANA Y BWANA X ANAWEZA KUSTAKIWA KWA KOSA LILE LILE?
 
icho kitu kilishawahi kutokea wapi mzee au ni kitu cha kufikirika? au ni mambo yaliyokuwa yakitokea enzi/karne za mwanzo kabisa za ustaarabu wa binadamu ambapo hata kesi za kujustify necessity kumla mwenzio mkiwa kwenye kusiwa kisicho na chakula chochote zilitokea? bofya SHERIA KWA KISWAHILI
 
kimsingi, kwa mujibu wa sheria ni vigumu sana suala hilo kutokea, hii inatokana na sheria ya ushahidi ilivyo pamoja na sheria nyingine, kwanza kosa tajwa huanzia polisi kwa upelelezi, kosa huripotiwa kwamba fulani kaua bila kukusudia, jambo la kwanza kwa mpelelezi ni kumuona aliyeuwawa, kama hujamuona marehemu unafunguaje jalada? pili ni kumsaka muuaji, tatu kumpeleka mahakamani, cha kwanza katika ushahidi ni wale walioshuhudia tukio au waliowaona marehemu na muuaji mara ya mwisho, pili ni postmortem report, kwa hiyo ni vigumu sana kuhukumiwa kwa kosa la kuuwa wakati muhusika yu hai!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…