Three degrees without education, Kweli na elimu yoote hiyo, tena employed Dr. Unakuja kutafuta mwanamke humu? Huu ni uzuzu, nahisiMimi ni kijana wa miaka 27 ni Dr
Nimeajiriwa, mweupe ,sio mnene
Mrefu, mkristo
Naitaji mke asiwe awe angalau amefika form six asiwe mwembamba Sana mkristo, mwaminifuu unaweza uka ni DM au my no 0757694702
Sent using Jamii Forums mobile app
Ucjari mkuu utapata ila wale wa ambiance na sinza wamehamia humuMimi ni kijana wa miaka 27 ni Dr
Nimeajiriwa, mweupe ,sio mnene
Mrefu, mkristo
Naitaji mke asiwe awe angalau amefika form six asiwe mwembamba Sana mkristo, mwaminifuu unaweza uka ni DM au my no 0757694702
Sent using Jamii Forums mobile app
. Mke anapatikana /anatafutwa wapi mkuuThree degrees without education, Kweli na elimu yoote hiyo, tena employed Dr. Unakuja kutafuta mwanamke humu? Huu ni uzuzu, nahisi
ni Dr wa mabox wewe.
Usiseme hivo unakosea.......uliza kwanza kwanini ameamua kutafuta mtu huku and not huko mtaaniThree degrees without education, Kweli na elimu yoote hiyo, tena employed Dr. Unakuja kutafuta mwanamke humu? Huu ni uzuzu, nahisi
ni Dr wa mabox wewe.
Msaada, Jamani naangamiaThree degrees without education, Kweli na elimu yoote hiyo, tena employed Dr. Unakuja kutafuta mwanamke humu? Huu ni uzuzu, nahisi
ni Dr wa mabox wewe.
Three degrees without education, Kweli na elimu yoote hiyo, tena employed Dr. Unakuja kutafuta mwanamke humu? Huu ni uzuzu, nahisi
ni Dr wa mabox wewe.
Ujue nimeshangaa, nimeduwaa nimebaki na maswali mengi. Ukianzia hapo kazini kwake tu anakutana na watu wengi au anakasoro huyo Dr siyo bure tena kwa wajihi aliotaja mwanamke gani asivutiwe nae jamani. Pole zake basi.Three degrees without education, Kweli na elimu yoote hiyo, tena employed Dr. Unakuja kutafuta mwanamke humu? Huu ni uzuzu, nahisi
ni Dr wa mabox wewe.
Dr? naitaji?=nahitajiMimi ni kijana wa miaka 27 ni Dr
Nimeajiriwa, mweupe ,sio mnene
Mrefu, mkristo
Naitaji mke asiwe awe angalau amefika form six asiwe mwembamba Sana mkristo, mwaminifuu unaweza uka ni DM au my no 0757694702
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee nilivomwelewa huyu mkuu ni Medicine Doctor .kwaiyo wamama changamkieni fursa ,Mshahara wake ni 1.5 M ,ongeza marupu rupu ...Mwisho Kwa mwwzi ana 2 M . Kwa iyo profession ,hawezi kufanya kazi viospital vya ndan yeye ni hospital za mkoa au wilaya au ya private lkn yenye hadhi .Dr? naitaji?=nahitaji
Mwaminifuu?=mwaminifu
DM kirefu chake ni nini
Yeah, na halikuwa tatizo ni psychological effect, iliisha mapema tu, kwa taarifa yako niko imara maradufu na nakaribia kupata mtoto. Huu ni ushuhuda tosha kwa walio na inferior kama nilivyokuwa Mimi.
Zuzu ni wewe, Mimi sijawaponda wanawake wa hapa jf, ninachomdiss ni elimu yake na techniques anayotumia kutamke mtu. Kuwa mwelewaWe jamaa vipi nao wanawake wa mtaani kanisani misikitini clubs si ndo hawahawa wa jf?acha uzuzu pambana na hali yako
atumie tekniki gani labda zaidi ya hiyo?kwani kutafuta mke kunaformula?bumbuwazi wewe pambana na hali zako baba na mshahara haupandi ng'ooZuzu ni wewe, Mimi sijawaponda wanawake wa hapa jf, ninachomdiss ni elimu yake na techniques anayotumia kutamke mtu. Kuwa mwelewa
We ndio zuzu, sasa unachoshangaa nini . Mimi nimepata mke humu humu.Three degrees without education, Kweli na elimu yoote hiyo, tena employed Dr. Unakuja kutafuta mwanamke humu? Huu ni uzuzu, nahisi
ni Dr wa mabox wewe.