ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Habari
Napenda kuchukua fursa hii kuwajulia hali zenu wadau
Doctor naitaji masaada wako wa ushauri au matibabu kama ikiwezekana
mama yangu anaumwa moyo umepanuka na kujaa mafuta, na vilevile
anasumbuliwa na figo ameshaenda hospitali za watu binafsi zile za
kama docta dondi ametibiwa na kupewa madawa na pamoja na
ushauriwa ale vyakula vya aina fulani ili apone, dozi ya kwanza
alipewa ameshamaliza mwezi na alikwenda hospital kupima wakamwambia
kuwa mafuta yamepungua kiasi fulani kwenye moyo ila tatizo la figo bado
akashauriwa na kupewa madawa mengine ambayo anamaliza mwishoni mwa
mwezi huu na ameambiwa ikifika sikuu ya idd ikimalizika aende kufanyiwa
checkup zaidi , ila bado ananalalamika maumivu kwenye moyo na zile dawa
zimefanya ajisikie vibaya. Naomba ushauri wako tufanyeje au tumpeleke
hospitali ingine akapate matibabu mengine mapya? au ni dawa gani tena
atumie maana kila siku analalamika anaumwa tumbo sasa nasi
tumechanganyikiwa tufanyeje? Naitaji msaada wako pls nisaidie hapa
tumwokoe maisha ya mama yangu kwani bado tunamhitaji
asante.
Napenda kuchukua fursa hii kuwajulia hali zenu wadau
Doctor naitaji masaada wako wa ushauri au matibabu kama ikiwezekana
mama yangu anaumwa moyo umepanuka na kujaa mafuta, na vilevile
anasumbuliwa na figo ameshaenda hospitali za watu binafsi zile za
kama docta dondi ametibiwa na kupewa madawa na pamoja na
ushauriwa ale vyakula vya aina fulani ili apone, dozi ya kwanza
alipewa ameshamaliza mwezi na alikwenda hospital kupima wakamwambia
kuwa mafuta yamepungua kiasi fulani kwenye moyo ila tatizo la figo bado
akashauriwa na kupewa madawa mengine ambayo anamaliza mwishoni mwa
mwezi huu na ameambiwa ikifika sikuu ya idd ikimalizika aende kufanyiwa
checkup zaidi , ila bado ananalalamika maumivu kwenye moyo na zile dawa
zimefanya ajisikie vibaya. Naomba ushauri wako tufanyeje au tumpeleke
hospitali ingine akapate matibabu mengine mapya? au ni dawa gani tena
atumie maana kila siku analalamika anaumwa tumbo sasa nasi
tumechanganyikiwa tufanyeje? Naitaji msaada wako pls nisaidie hapa
tumwokoe maisha ya mama yangu kwani bado tunamhitaji
asante.