Hawawezi kuonyesha ufisadi mpaka ufanye mkutano wa hadhara?we jamaa boya sana unauliza maswali gani hivi mazingira ya kufanya siasa ya mwaka 2014 na 2019 ni sawa? hivi ujui kama vyama vya upinzani havifanyi mikutano ya hadhara kuonesha huo uovu wa serikali? kila ck usikii wapinzani wanashinda mahakamani kwa kesi za uchochezi? bichwa lako
Mwenye masikio na amesikia. Hakuna ulilolibakisha, yote uliyosema ni kweli tupu.Habari.
Chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma ilikuwa ya kutetea masilahi ya taifa ,ya kujenga hoja na mara zote ilikuwa raha kuwasikiliza wakiibua hoja ufisadi mzito kwenye mikataba .
Leo Chadema imekuwa ya kutetea masilahi ya mabeberu, hawajengi hoja tena kazi yao ni kuokoteza tu,na kushangilia ndege za watanzania zinapokamatwa au madini yanapotoroshwa nje!!!!
Chadema kutoka kupigania masilahi ya taifa hadi kupigania masilahi ya mabeberu.!! Hivi chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma imeenda wapi?
Au ndiyo laana ya Dk Slaa??
Unategemea nini? kama jiwe hataki kukosolewa ila anapenda atukuzwe kama yeye ni muumbaKupigwa risasi mbunge ndiyo sababu ya chadema kuacha kutetea masilahi ya taifa?
hizo m4c unazozitaka zilikuwa zinafanyika twiter? Sugu alijaribu kuonesha mapungufu ya jiwe uliona kilichompata? usijifaye ujui ukweli jiwe akiacha watu waongee ana makando kando mengi sanaHawawezi kuonyesha ufisadi mpaka ufanye mkutano wa hadhara?
Huko Twiter, Facebook wanashinda wakifanya nini?
Vipi akina Matiko ,Heche ,Msigwa, Sugu wanafanya mikutano kila siku kwenye majimbo nao hawaruhusiwi kutaja ufisadi??
Big up mkuuMwenye masikio na amesikia. Hakuna ulilolibakisha, yote uliyosema ni kweli tupu.
Sasa hivi Cdm kimejionesha dhahiri ni chama cha kikanda na ni chama chenye migogoro na kesi zisizoisha.
Ikirud Cdm ya Dr Slaa, sidanganyi, nafufua kadi yangu. Nilikuwa mpz na mkereketwa sana wa Cdm kipindi hicho.
Kwa nini usiyaseme hapa hayo makando kando?hizo m4c unazozitaka zilikuwa zinafanyika twiter? Sugu alijaribu kuonesha mapungufu ya jiwe uliona kilichompata? usijifaye ujui ukweli jiwe akiacha watu waongee ana makando kando mengi sana
kwani we nani mpaka nikuambie? Unaelewa uzi wako unataka nn kwl?kweli we boya sana ujiu na ujiu kama ujui na hutaki kujua shameKwa nini usiyaseme hapa hayo makando kando?
Kumbe Chadema wanaiga Ccm?
Sikiliza navyiangua kicheko cha hatarii ndege yetu kukamatwa sauzHabari.
Chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma ilikuwa ya kutetea masilahi ya taifa ,ya kujenga hoja na mara zote ilikuwa raha kuwasikiliza wakiibua hoja ufisadi mzito kwenye mikataba .
Leo Chadema imekuwa ya kutetea masilahi ya mabeberu, hawajengi hoja tena kazi yao ni kuokoteza tu,na kushangilia ndege za watanzania zinapokamatwa au madini yanapotoroshwa nje!!!!
Chadema kutoka kupigania masilahi ya taifa hadi kupigania masilahi ya mabeberu.!! Hivi chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma imeenda wapi?
Au ndiyo laana ya Dk Slaa??
Habari.
Chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma ilikuwa ya kutetea masilahi ya taifa ,ya kujenga hoja na mara zote ilikuwa raha kuwasikiliza wakiibua hoja ufisadi mzito kwenye mikataba .
Leo Chadema imekuwa ya kutetea masilahi ya mabeberu, hawajengi hoja tena kazi yao ni kuokoteza tu,na kushangilia ndege za watanzania zinapokamatwa au madini yanapotoroshwa nje!!!!
Chadema kutoka kupigania masilahi ya taifa hadi kupigania masilahi ya mabeberu.!! Hivi chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma imeenda wapi?
Au ndiyo laana ya Dk Slaa??
Lakini bavichaaa hawatakuelewaChadema ilishakufa tpkea Dr Slaa alipojiondoa
Kwa sasa ni ulaji tu,na wengine wameamua kula mwisho mwisho
Salumu Mwalimuanafanya harakati za chini kwa chini kumng'oa bosi wake ili apewe yeye u KM
Mwalimu alishatuhumiwa na sugu na msigwa(uzi upo humu) kwa kutamani,kuomba na kupokea rushwa ya milioni 20 na papa kwa kila muombaji wa ubunge viti maalum
Ingekua enzi ya slaa,huyo mwalimu saa hizi anaangua nazi kwao mchamba wima,lakini kwa kuwa ni mpambe wa mwenyekiti,na mwenyekiti hataki uchaguzi,watu kama hawa hawatoki mpaka chama kife kama TLP
Ilikuwa haina polisiKumbe Chadema wanaiga Ccm?