Naitisha mgomo wa kutumia neno MKUU

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu


Naitisha mgomo mkubwa na wa kishindo juu ya neno mkuu

Hili neno halina maana yeyote zaid ya kumutii ibilis yaan shetan


Biblia inapiga marufuku utumiaji wa neno MKUU

BIBLIA inasema MKUU ni ibilis mnyonya damu, mwovu aliyelaniwa mpotoshaji ambaye yuko dunian kupoteza watu wa MUNGU

kuanzia leo tusiwe tunatumia Hili neno

Huu mgomo uwe wa watu wote


Nalaan vikali utumiaji wa neno mkuu

LONDON BABY
 
Nadhani kuna uzi humu uliletwa na mtu mwingine simkumbuki na yy eti anamindi matumizi ya Mkuu!

Hv mkuu ulishawahi kujiuliza kwann watu wanalitumia?

Nakuomba mkuu, ukiweka mada nzito km hii weka na nukuu ya maandiko!
Hivi hivi hutoeleweka mkuu
 
Nadhani kuna uzi humu uliletwa na mtu mwingine simkumbuki na yy eti anamindi matumizi ya Mkuu!

Hv mkuu ulishawahi kujiuliza kwann watu wanalitumia?

Nakuomba mkuu, ukiweka mada nzito km hii weka na nukuu ya maandiko!
Hivi hivi hutoeleweka mkuu
He heee watu wamepinda mkuu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…