Naitisha mgomo wa kutumia neno MKUU

Naitisha mgomo wa kutumia neno MKUU

Sasa si ungeweka neno la kutumia, au umeandika ilihal replacement yake huna.

Duu we mkuu ww
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu


Naitisha mgomo mkubwa na wa kishindo juu ya neno mkuu

Hili neno halina maana yeyote zaid ya kumutii ibilis yaan shetan


Biblia inapiga marufuku utumiaji wa neno MKUU

BIBLIA inasema MKUU ni ibilis mnyonya damu, mwovu aliyelaniwa mpotoshaji ambaye yuko dunian kupoteza watu wa MUNGU

kuanzia leo tusiwe tunatumia Hili neno

Huu mgomo uwe wa watu wote

Mkuu ungetupa na mstari kwenye biblia nasi tuupiitie. Samahani sana mkuu
Nalaan vikali utumiaji wa neno mkuu

LONDON BABY
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu


Naitisha mgomo mkubwa na wa kishindo juu ya neno mkuu

Hili neno halina maana yeyote zaid ya kumutii ibilis yaan shetan


Biblia inapiga marufuku utumiaji wa neno MKUU

BIBLIA inasema MKUU ni ibilis mnyonya damu, mwovu aliyelaniwa mpotoshaji ambaye yuko dunian kupoteza watu wa MUNGU

kuanzia leo tusiwe tunatumia Hili neno

Huu mgomo uwe wa watu wote


Nalaan vikali utumiaji wa neno mkuu

LONDON BABY
Kama MKUU ni Ibilisi Shetani basi kuna mashetani wengi!

Wakuu wa vyuo nao ni mashetani!
Wakuu wa mikoa!
Wakuu wa taasisi mbalimbali nk!
Duh hii ni hatari!

Hata Biblia unayosema kuna wakuu mule wengi sana, inamaa nao ni mashetani?
 
Back
Top Bottom