Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Words kwa paragraph ya mwisho hapo
 
Hahaha....mzee baba alikuwa kauzu zaidi ya dagaa
 
Mbona masanja anasema amekuwa tajiri kupitia kilimo Cha mpunga?
 
Mkuu umepoteza sana nguvu sijui kwa nini hukuwaza hata kuuza mitumba viatu au nguo ambavyo haviozi? kuliko kilimo? Baba yako ile laki 3.5 ulikuwa mtaji kabisa.

Kumbe juzi tu kipindi cha magu?

Nyumbani ulitoka mwaka gani?
Sio kipind cha magu hapo kanogesha tu story

We hukusoma kiswahili kwani ?!

Teh .....

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Somehow ulikosea kukataa school,ungeenda halafu ukifika unabadil combination juu kwa juu huko shuleni.
Kuna mjomba wangu mmoja alifaulu kwenda form one miaka ya 90,akaanza form one akisomeshwa kwa tabu na bibi,alipofika form 3 akaanza kugoma shule,huku akidanganya kudaiwa hela kibao shuleni ,bibi kwa tabu akawa anampatia anaenda kula Bata na marafiki zake pamoja na mademu zao.Walipofika form 4 wakasimamishwa shule yeye na group lake lote,wakaambiwa waje kufanya mtihan wa mwisho tu.Ulipofika muda wa mitihan akawa anapelekwa shule na tax na dada yake,ila dada yake akawa anamwambia fulan utakuja juta kwa hili.Akamaliza lakin alifel,leo hii yapata miaka 16,amepigika anajuta hana hamu.Kutwa kutupiga mizinga wajomba na kulalamiki hatumsaidii.
 
Hizi ni picha mbili zinaonesha mahesabiano kati yangu na yule jamaa mnunuzi wa matikiti. Picha ya kwanza palipozungushiwa na bluu hiyo ni bei alafu kushuka chini ni idadi. Mfano matikiti ya yeye kuyanunua kwa elfu mbili yalikuwa manne tu.

Picha ya pili palipozungushiwa na kijani ni hela ambayo aliyotakiwa anipe kulingana na mahesabu. Ilikuwa 318400 (haikufika hata laki 3 na 40)

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…