Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Pole Sana ila tukomae hivyo hivyo kinyume chake ni stress za kwenda kutumwa
 
Daaaa kweli maisha n safari ndefu.
Pole sana baharia wa nchi kavu ila hongera kwa ushujaa wa mzee pia.
 
Umeona wivu labda watu tunavoipenda story yake. We kama unajua ya uongo ungeleta yako ya ukweli.
Mara sijui kasoma kwa nani, Mara sijui kasoma Azania, huo n wivu tu hatukuamin.
Ungeenda ukasoma huko na ww ili ukaleta yako ya ukweli.
Wivu wa nini sasa?Wa kuhangaika na maisha ama uzi wake?nimempongeza ni mtunzi mzuri sana, grow up
 
Umeona wivu labda watu tunavoipenda story yake. We kama unajua ya uongo ungeleta yako ya ukweli.
Mara sijui kasoma kwa nani, Mara sijui kasoma Azania, huo n wivu tu hatukuamin.
Ungeenda ukasoma huko na ww ili ukaleta yako ya ukweli.

Poor minded kabisa, i am a big fan of his story you fool, nimetoa maoni yangu wapumbavu kama wewe mnahisi ni attack, hivyo your opinion take and shove it in your anus
 
Kusema ukweli wanaume wanaosoma hii story Tunatakiwa kuwa kama mshua wake Analyse..yule baba ni watofauti sana sana.

Kwanza hakumlazimisha mtoto kwenda shule hilo ni jambo zuri sana kama mzazi (tukubali tukatae)

Pili baada ya kutomlazimisha hakumfukuza tu kama mbwa nyumbani kama wafanyavyo wazazi wetu wengine,ila alimpa analyse ADA yake atakayoitumia Shule aende AKAILE MWENYEWE (hapa mzee alinawa mikono)

Baada ya kumpa Ada alimwambia achague mawili..kwenda shule au Kujitegemea (analyse alichagua kujitegemea) kwa mtaji wa ADA YAKE(sitegemei kuja kuona analyse anamlaumu baba yake hata kidogo)

Hiyo haitoshi wamekuja kukutana tena na mshua macho kwa macho Mshua akampa tena BAKI iliyobaki kwenye ile ADA YAKE (huyu baba nimemkubali kwa asilimia 5000000)

Kwa simulizi hiiii pamoja na mapito ya kujifunza kupitia analyse ila kuna BABA ANALYSE huyu mzeee nina uhakika leo hii analyse anasimulia haya ila anampenda BABA YAKE kwa kipimo kisichopimika(au uongo Analyse )

Endelea mkuu na simulizi..sema nini mwambie mshua wako (ambae ni baba yangu pia) Kuna mwanae asiejulikana anamkubali vibaya mno,kwa kudhihirisha hilo naomba unambie mtandao wa simu anaotumia mshua (sio namba ya simu) nataka kujua tu mtandao anaotumia kuwasiliana. (ukishafanya hivyo nina zawadi yake nitakutumia PM) tafadhali MFIKISHIE KAMA NITAKAVYOKUTUMIA WEWE.

#Tuendelee #na #story #mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…