Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Hizo likes unauza?.....
Maana [emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] wakuu bhana "likes/thanks" ni kama motisha tu kujua kwamba kuna kundi kubwa la watu lipo nyuma yako likiku support kwa namna moja au nyingine.

NB: nimejibu kwa niaba ya mhusika.

Smart guy
Hivi likes zinakuongezea nn??

Naona unaziomba
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naon umeamua kutulia
 
Dah mpitimbi.... Nilikuwa hapo mwaka jana july
 
Kabisa mshua wa analyse

Anahtaji zawadi

Zawadi kubwa sana

Siku ya wababa ya leo , naiazimisha kwa baba yake analyse na kwa baba yangu

Advance nakumbuka nlsoma shule tatu

Primary shule tano

nlkua kivuruge sana , ila mzee hakuwahi nikatia tamaa

Teh ..


Heshima kwenu wadingi ...


Leo na mtoto anaitwa theodore ...

Nakumbuka huu msemo pia wa mama" mwanangu utakuja kuwa na watoto

Teh ...

Juzi kaiba penseli za wenzake wote

Kesi bado sijaimaliza
 
Story nzuri ila ya uongo...huyu mchizi story zake za nyuma alishasoma tuition kwa mudy mchikichini na kasoma azania kama sijakosea hapo hapo leo hii alikuwa hapajui dar...all in all muandishi mzuri...big up broda

Yaani humu unaamini kila kinachoandikwa na watu juu yao duh!!!!

Kupindisha ni kama kawa mimi mmoja wao.. sanaaaaaaa nikijiongelea lazima mengine niweke kiutofauti.. ni kuwa mjanja tu
 
""Nikamwambia lakini nauli ya kunitoa nyumbani ulinipa wewe, kwanini usinipe na ya kurudi, maana sina kitu kweli. ""

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Yaan huyo mtoto km wangu kbs[emoji23] [emoji23] [emoji23]. Mwl alichoka kusuluhisha ikawa kila kesi naitwa shule, loh!
 
Kuna lile shairi tulisoma shule ya msingi la wana ndugu wawili SADIKI NA CHITEMO, sasa CHITEMO alijiongeza kama wewe ulivojiongeza ila ALIPATA TABU SANA.

kuna mdau huku juu amequote baadhi ya MISHORORO ya shairi hilo.
Kama unaweza mkuu weka lile shairi hapa tukumbushane enzi za mwalim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…