Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Duuuuuh, nimecheka eti huyu Mzee ujana wake inaonyesha aliulia dar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
kuna mzee kule kariakoo niliwah mwoneshea heshima nkamwamkia cha ajabu aliitikia tu kwa kutikisa kuchwa.af wajanja wajanja knouma
 
Mkuu chuo ulienda. Lini? Coz ulisema ulilima mbaazi kipindi cha Magi probably ni kuanzia 2016 na uliendelea kusota.

2017 ndio nimeona habari za chuo? Au ulienda koz fup? Au kuna sehemu umesimulia habari za kurudi shuleni sijasoma??

Huyu mtu chuo alienda, kauzu aliyepitia msoto kwenye hayo masimulizi ni Dingi yake
 
Nitazdisha uhusiano nilio nao na baba yangu

Kuna kipindi nilipitia changamoto kubwa kwnye mambo ya mahusiano

Thread ipo humu

Yeye alikuwa bega kwa bega na mimi

Alichukua hadi pesa yake kunipeleka kwa psychologist

My dad my hero,Mimi ni Baba yangu, na Baba yangu ni Mimi.

I am closest to my father, as he is my rock, my pillar of strength, and my world. Not only has he stood by me through all times - happy, sad, and otherwise - but there have even been moments when I had completely lost hope, and his immense belief in me had lifted me up.
Hapa ndipo huwa nawalaumu wanawake wote niliowahi kuwa nao.

Yaani walishindwa kunisumbua hadi niiende kwa "pyschologist" kama mtoa comment.

Hii hali hutokeaje mzee baba....unaugua ghafla au unazimia?
 
Umechemka haswaaaa DUH!!!!
kumbe nawe wale wale wanaopenda kupinga ya watu.. tena huyu ni story yake mwenyewe anasumulia. muonekana mnayajua sana kila kitu humu.. kumbe pwaaa.. eeeeeh.. huwa nawapita ila hii ya true story imebidi nikuambie uwe unatulia shaaaa..

Makubwa.. nauli aliyopewa ilibidi ujiongeze.
Mazoea mazoea mimi naweza msaidia mtu 10 elfu nikijua anenda kupanda basi safari moja.. zilizobaki ni atajiju nazo. Ungekuwa wa hivyo usingejichemsha aiseeee duh!!!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbona unanishambulia hivo?
Wewe ndo unasema hayo yeye amesema alipewa hela ya chai!
Jifunze kubalance👇👇👇👇👇👇
IMG_20190604_072652.jpg
 
Endelea kuwa na mm chief mpaka mwisho. Hii ni jamii forum. Nilishakutana na mtu aliyepost kuwa ni mkurugenzi wa kampuni ya maswala ya kilimo. Ila tulivyokutana live ndio nikajua kuwa anatamani kuwa mkurugenzi wa kampuni ya maswala ya kilimo.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Vizuri sana, story yako imenifanya nimfikirie kivingine fulani najua anahustle lakini kuna muda naona kama anachelewa. Ni mpambanaji kiukweli naona nimpe muda zaid by the way nalog out mara moja niwacheki wazee


Stay blessed.
Hahahahaahahahah!

Utachelewa mkuu, shauri yako!
 
Wooooh, somo zuri, kwa kweli umetufundisha, I wish mamangu angekuwepo leo....ningekaa nikaongea nae mawili matatu kama ulivyokuwa unaonagea na mshua wako but ndio hivyo hayupo......[emoji24][emoji24]
Pole sana, mola ampe pumziko jema
 
Back
Top Bottom