Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mzee kule kariakoo niliwah mwoneshea heshima nkamwamkia cha ajabu aliitikia tu kwa kutikisa kuchwa.af wajanja wajanja knoumaDuuuuuh, nimecheka eti huyu Mzee ujana wake inaonyesha aliulia dar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
uliniacha njia panda ulivyosema baada ya "kumaliza chuo" but now nimekuelewa ulikuwa una maana ipi.Hujaelewa nini kwenye neno ilo mkuu?
Iyo thread IPO WAP nikaisome mkuu?Mkuu thread yako inanifurahishaga sana, uliachwa huku umetundikwa miguu juu
life ulilopitia limejaa mafunzo hasa kwa mwanaume/kijana aliyetoka kwenye familia zetu za msoto ila sio wale wa ushuani watoto wamekaa kindezi ndezi.Hapo sawa. Tupo pamoja.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu thread yako inanifurahishaga sana, uliachwa huku umetundikwa miguu juu
Mkuu chuo ulienda. Lini? Coz ulisema ulilima mbaazi kipindi cha Magi probably ni kuanzia 2016 na uliendelea kusota.
2017 ndio nimeona habari za chuo? Au ulienda koz fup? Au kuna sehemu umesimulia habari za kurudi shuleni sijasoma??
Niliishia kwa mchungaji hapo mbona sioni ikiendeleaRiwaya yako siyo mbaya.. Hadi sisi tusiosoma paragraph zinazozidi mbili tumesoma mwanzo mwisho.. Na tunasubiri muendelezo
Twhteh....ulishaanza kunpotezea?Vizuri sana, story yako imenifanya nimfikirie kivingine fulani najua anahustle lakini kuna muda naona kama anachelewa. Ni mpambanaji kiukweli naona nimpe muda zaid by the way nalog out mara moja niwacheki wazee
Stay blessed.
Hapa ndipo huwa nawalaumu wanawake wote niliowahi kuwa nao.Nitazdisha uhusiano nilio nao na baba yangu
Kuna kipindi nilipitia changamoto kubwa kwnye mambo ya mahusiano
Thread ipo humu
Yeye alikuwa bega kwa bega na mimi
Alichukua hadi pesa yake kunipeleka kwa psychologist
My dad my hero,Mimi ni Baba yangu, na Baba yangu ni Mimi.
I am closest to my father, as he is my rock, my pillar of strength, and my world. Not only has he stood by me through all times - happy, sad, and otherwise - but there have even been moments when I had completely lost hope, and his immense belief in me had lifted me up.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbona unanishambulia hivo?Umechemka haswaaaa DUH!!!!
kumbe nawe wale wale wanaopenda kupinga ya watu.. tena huyu ni story yake mwenyewe anasumulia. muonekana mnayajua sana kila kitu humu.. kumbe pwaaa.. eeeeeh.. huwa nawapita ila hii ya true story imebidi nikuambie uwe unatulia shaaaa..
Makubwa.. nauli aliyopewa ilibidi ujiongeze.
Mazoea mazoea mimi naweza msaidia mtu 10 elfu nikijua anenda kupanda basi safari moja.. zilizobaki ni atajiju nazo. Ungekuwa wa hivyo usingejichemsha aiseeee duh!!!
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Endelea kuwa na mm chief mpaka mwisho. Hii ni jamii forum. Nilishakutana na mtu aliyepost kuwa ni mkurugenzi wa kampuni ya maswala ya kilimo. Ila tulivyokutana live ndio nikajua kuwa anatamani kuwa mkurugenzi wa kampuni ya maswala ya kilimo.
You can never imagine how I felt when I read what you wrote here!Yours is absolutely fantabulous!!
There is nothing to compare with....
Hahahahaahahahah!Vizuri sana, story yako imenifanya nimfikirie kivingine fulani najua anahustle lakini kuna muda naona kama anachelewa. Ni mpambanaji kiukweli naona nimpe muda zaid by the way nalog out mara moja niwacheki wazee
Stay blessed.
Pole sana, mola ampe pumziko jemaWooooh, somo zuri, kwa kweli umetufundisha, I wish mamangu angekuwepo leo....ningekaa nikaongea nae mawili matatu kama ulivyokuwa unaonagea na mshua wako but ndio hivyo hayupo......[emoji24][emoji24]