Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Mkuu hongera sana

Vipi, siku hizi bado unaletewa juice ukitaka chai au unapata unachotaka

Umemaliza story yako lakini bado umetuachia maswali mengi

Pia umwongelea mambo ya chuo, japo hujatusimulia kuhusu kwenda chuo au nimekuelewa vibaya

Kwamba story yote uliyotusimulia ni 5% inayokuhusu wewe, ina maana mzee wako ndio aliibiwa furushi mbezi, aliyejifanya fundi bomba, alikwenda kwenye madini Msumbiji, alipigwa hela zake alipokwenda kusaka rupia? n.k

All in all hongera kwa mapambano. Lakini hatuwezi kuwadharau Motivational Speaker kwani hata wewe hapa ume motivate watu japo sio mzazi wao
 
Hapa ndipo huwa nawalaumu wanawake wote niliowahi kuwa nao.

Yaani walishindwa kunisumbua hadi niiende kwa "pyschologist" kama mtoa comment.

Hii hali hutokeaje mzee baba....unaugua ghafla au unazimia?
Hpn nlshndwa kufnya kazi zangu

Hivi wewe unasalitiwa , kesho ndo harusi

What the f*ck

Unaujua uchungu wake
 
Msalimie Theo.
AHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHHAHA kajua kunivunja mbavu!n
nimewaza amezikusanyaje zote !dah!
kajua kunitengenezea siku mwanangu!
 
pale kwenye moto uliopeperuka na jani ukuwasha eneo kubwa umenifurahisha sana kwa hilo janga🙂,,, yaani hayo masaibu sie panya alikimbia na moto kwenda kwenye ghala la jirani......siisahau hii siku kwa kipigo...duuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbona unanishambulia hivo?
Wewe ndo unasema hayo yeye amesema alipewa hela ya chai!
Jifunze kubalance👇👇👇👇👇👇View attachment 1129578

Duh!!! Post ipi ati u shoboan adi nilisahau ungekewa wako.. kweli Magu karudisha heshima ya pesa nchini..

Shoboan sasa tunajua heshima ya pesa na umekuwa mkimya fulani kwa muda.. wengine ni kama mfano tuendelee kujua kutotumia data tusipohiitaji.. tudakue jobu au kwa majirani.
jifunze kusoma na kuelewa... ulidakia tu nawe uwe umeandika ha ha haaa... na kufikiria nje ya boksi.. mimi huwa narudi

Jionee aibu na kukaa kimya ni.... ukifunzwa sikiliza..

Kuna Mzee mmoja ndio alinionea huruma akaninunilia chai na kunipa nauli ya kunifikisha ubungo, maana jamaa aliyetarajia kunipokea ilibidi nikutane nae ubungo.


aliandika hayo juu

ukaandika haya... nani shoboan.. umechemka embu jiepue kwanza
muda utaisha tena 11 hiyooo


Hiyo sehemu ya kwanza umesema hela uliibiwa mpaka mzee kesho alikusaidia hela ya chai na nauli!

Halafu mwishoni unamalizia kama baada ya kufika ubungo ulinunua vocha umpigie huyo ndugu yako! Hela ulitoa wapi mkuu?
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chief umenikumbusha mbali sana pole aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…