Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Simulizi nzuri sana na yenye kufundisha, asante sana Analyse.Nadhan kwa sasa mambo yako yapo vizuri
 
Ila khaaa pamoja na kulizwa Sana dar bado hukukua kiakili.

Yaani babu wa kijijini aweze kuwapata mjerumani na muisrael na vichaa 2 nanyi mkaamini kabisaaa...

Hivi mnalishwagwa uchawi mshindwe kufikiri??
mkuu hayajakukuta, ni sawa uwe umeingia kuiba kitu sehemu hata akija dogo wa vidudu anakujambisha utatoka mbio. hapo mawazo yote ni hazina ya mjerumani not ufikiri wa sehemu na nani anakupatia hivyo vitu
 
Simulizi nzuri na yenye mafunzo hasa kwa mimi kijana ninayepambana ili nifanikiwe.

Moja ya kitu kikubwa nilicho jifunza ni kutokata tamaa umekutana na changamoto upande wa kilimo bei ya mazao kushuka hadi kukata mtaji, mazao kuoza pamoja na changamoto hizo bado hukukata tamaa hata pale ulipopewa mtaji na mzee mawazo yalikuwa upande wa kilimo na baadae ukapata mafanikio.

Mzee wako anakupenda sana na anajua namna ulivyokuwa ukipambana hongera kwa kupata baba mwenye upendo japo hakujionyesha wazi ili ufahamu kuwa anakupenda.
 
Nimecheka sana Baba anauliza km jamaa ni mwanae. Jibu la mama limeniacha na cheka aswa eti pua duuu
 
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2]
Kama nakuona mwanang..
 
Mkuu ANALYSER me nataka kujua tu yule mdogo wako mliekula ndizi wote sasa yupo wapi anajishuhulisha na nini ikiwemo naww pia, then tudokeze pia uliijuaje JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…