Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...



Kudos kwa dingilai aisee! Baba mkakamavu balaa hhhaahhaa! Pole kwa kuuguliwa na mama! Kila la heri stry yako ni funzo kubwa sana kwa maisha haya!
 
M
Dogo yupo shule, japo yupo chini yao. Hawataki atoke, maana wapo wenyewe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Asante sana huu uzi niliusoma mwaka jana,niliupoteza na nilihangaika sana kuupata tena,ulivikimbia vishazi na sentensi shurutia wakati mimi nilikomaa navyo hivyohivyo advance kwa kuziogopa hesabu na mafizikia 😂😂,anyway maisha yana njia nyingi hadi kufikia utoboe,juzi kati nilimpa simu wife nikampa na huu uzi aupitie japo yeye sio mtumiaji wa jf,baada ya muda nikamuona anafuta machozi namuuliza kulikoni ananiambia "hii dunia wanawake tupo kuwastarehesha nyinyi tu ila hatuna uwezo hata wa asimilia 10 wa kuzikia harakati zenu,huu usawa tunaolilia kila siku kwa wanaume hatustahili hata robo"
 


Inategemeana mkuu!...sio rahisi kuamini kama alivyosema wifi!
Shida yetu inakuja sehem moja...unaenda kutafuta maisha unafika kule unaangukia kwa mabaharia...unaanza kazi za kulea mimba na kulew mtoto! Otherwise hustle mnazofanya na wamama wanafanya!
 
U Upo sahihi
 
"Utapewa pole jikoni ,Ila ukifika mjini utapost umejigonga kwenye kiti__"

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mzee kauzu sana daaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hichi kipindi mbaazi kilo 1 bei Tsh 100 kama sijakosea.[emoji23][emoji23]

Ngoja nisome yaliyokukuta ila nakumbuka vizuri hichi kipindi 2016-2017 mbaazi ziliozea shambani hamna pakupeleka.
 
😆😆
Hivi mama nanii, huyu ni mwanangu kweli??" Bi mkubwa nae akawaka "Nitolee wehu wako hapa, angalia lipua la mwanao alaf nenda kajiangalie kwenye kioo kama hujawahi kujiangalia" faza akawa mpole, maana kama ni pua tu, kweli tunazo.
 

the best story ever [emoji1319][emoji1319]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…