Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShikamooAnalyse hahahah
Et ukioa ndo utachagua chai
Aisee
Kuna wazee hii dunia [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Unataka umtunuku utamu?Nimesoma nimeenjoy nitakupm kesho mkuu
Umeandika kifupi,lakini nimejaribu kuuvaa uhusika wako,maisha ni safar ndefuDaah, mekumbuka mbali Sana, siku ya kwanza nimelanda landa Sana ubungo , her siku ya pili, ya tatu, mtu akiniuliza nasema nimekuja pokea mgeni, kumbe watu Wana kariri, baada ya wiki Kama mbili hivi jamaa ananiuliza vp una mgeni? Nkakwambia ndio toka Jana mekuja mpokea kumbe watu washa nikariri, nlisikia sauti sijui imetoka wapi watu wanasema muongo huo lazma atakua mwanga huyo maana kila siku yupo apo apo na ubaya ilikua nkitoka kuhangaikia tumbo nkifika tu ubungo Kuna sehemu nlikua napenda Sana kukaa hapo siondoki adi kunapambazuka, [emoji23]
HatareeeehNa nusu nini mkuu?
Mezea basi na wewe,sie tumeshaelewa ila tumeipenda hii story inaburudishaHi chai hii
Akaweka vocha na wakati aliibiwa mbezi hela