- Thread starter
- #61
Nimeachana nae majuzi nimefuta namba yake kwa sasaKabla hujapewa wa kumuoa humu Weka kwanza namba za demu wako wa sasa ndiyo upate demu mpya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeachana nae majuzi nimefuta namba yake kwa sasaKabla hujapewa wa kumuoa humu Weka kwanza namba za demu wako wa sasa ndiyo upate demu mpya.
kukaguliwa nini??Karibu jf
Umekaguliwa?
Una hela kwanza? Maana wanawake wa huku wote ni super women.anhaa hata wewe unataka mume?
Daaaaaahnitumie email engineer@mbuludc.go.tz
mbona umeguna?Daaaaaah
Hahaaa we si umenivungia.Naona umenipa ban haina nomaa
inategemea kiasi gani cha pesa, za matumizi ya mtanzania wa kawaida ninazoUna hela kwanza? Maana wanawake wa huku wote ni super women.
Kwahiyo baada ya kuachana naye ndiyo ukaja kusaka huku?Nimeachana nae majuzi nimefuta namba yake kwa sasa
Aaaah nitumie Pm basi, unitoe gizani.Teh..humu ni mwendo wa gizagiza, kuonana mambo ya fb
Mungu anakuona ujue...haina noma najua ukinmiss utantafutaHahaaa we si umenivungia.
Kama umetailiwakukaguliwa nini??
Baki gizaniAaaah nitumie Pm basi, unitoe gizani.
hapana sina nia hioKwahiyo baada ya kuachana naye ndiyo ukaja kusaka huku?
Za mtanzania wa kawaida ndiyo kiasi gani?inategemea kiasi gani cha pesa, za matumizi ya mtanzania wa kawaida ninazo
wapo kibao, huku kuna mabinti wa kimbulu wako poa kinomaNitafutie namba ya demu mkali as huko.
ya chakula, mavazi na malaziZa mtanzania wa kawaida ndiyo kiasi gani?
Namba zao.[emoji1] [emoji1]wapo kibao, huku kuna mabinti wa kimbulu wako poa kinoma
Jamani Mungu hapendi unajua.Baki gizani