wewe umeweka picha yako?Weka picha yako kwenye hiyo avatar
Huoni ama dharau tu.wewe umeweka picha yako?
umewezaje kuiweka?hapana
Umeonaaaaaaaaaaaaaaa eeehhhh. Isije kuwa ni Chakubanga huyuMgeni gani anajua kuquote?
Ha haaaUmeonaaaaaaaaaaaaaaa eeehhhh. Isije kuwa ni Chakubanga huyu
Naitwa KITINTALEHabari za Asubuhi Ndugu zangu, mimi ni Mgeni katika hii forum
Naitwa Jeff kutoka Mbulu-Manyara.
wewe je?
Karibu Jeff, naamni Kabla ya kusoma umezingatia FAQHabari za Asubuhi Ndugu zangu, mimi ni Mgeni katika hii forum
Naitwa Jeff kutoka Mbulu-Manyara.
wewe je?
Mfano sh.ngapiinategemea kiasi gani cha pesa, za matumizi ya mtanzania wa kawaida ninazo
sio vizuri kuweka hapa nimekupa email nichekiMfano sh.ngapi
Usimfundishe kijana ujeuri![emoji46][emoji46][emoji36][emoji36]Karibu Jf! Hulazimiki kuweka picha wala kutoa wasifu wako hapa. Natumaini umepata wasaa wa kupitia nyuzi mbalimbali na umeweza kubaini hilo. Hivyo unachoombwa sio lazima ukijibu au kubandika picha.
Hahahahaaaaa! Cheza imbegete!!! Kizuri hakijifichi.Weeeee umenijuaje?
Multiple idHahahahaaaaa! Cheza imbegete!!! Kizuri hakijifichi.
Wala! Nipo jirani tu, kama unapenda kitu si unakifuatilia jamani?Multiple id
Acha ushamba...huyo mwanamke anakuomb picha ili akupe papuchiPicha yangu ya nini sasa?
Papuchi yake niifanyie nini wakati ninayo ya kwangu?Acha ushamba...huyo mwanamke anakuomb picha ili akupe papuchi
Mgeni gani anajua kuquote?
Umeonaaaaaaaaaaaaaaa eeehhhh. Isije kuwa ni Chakubanga huyu
Nahama CHADEMA rasmi, naanza kuunga mkono juhudi za Rais MagufuliKaribu Jeff, humu ndani Kuna mengi. But zingatia "akili ya kuambiwa changanya na ya kwako"
Nahama CHADEMA rasmi, naanza kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli
Mimi siku hizi nimekuwa mgumu sana kuanza kumuambia mtu karibu JF bila kusoma comment zake japo kidogo.
Hapa aliombwa atume picha yake na kaoneshwa sehemu ya kutuma lakini akadai kuwa anatumia PC na anashindwa ku upload.
Pia mimi baada ya kupitia post kadhaa nikamuuliza aliandikie signature yangu hapa, hajanijibu.
Huyu sio mgeni bali ni mwenyeji mwenye ID mpya.