Naiwakilisha Tanzania kwenye shindano la kimataifa

idrisouh

Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
12
Reaction score
5

Attachments

  • 22730225_1607375665990912_6647037443955210552_n.jpg
    25.7 KB · Views: 43
Isije ikawa ni kamtego kakutukamata masna siku hizi nasikia kuna hackers
 
Aisee 2013 halafu una comments nne? Nitajaribu tu kukupigia kura kama nitakumbuka kama wewe unaye ikumbuka jf wakati wa matatizo yako
 
Harafu ukisha zungukaaa baadae utakua na manufaa gani kwa taifa? But Hongera Sana mkuu.
 
Harafu ukisha zungukaaa baadae utakua na manufaa gani kwa taifa? But Hongera Sana mkuu.
Mie nina mradi wa kutunza mazingira, natengeneza mkaa unaotokana na taka ngumu. hivyo nimechagua kwenda kujifunza mbinu nzuri na zakisasa za uzaklishakji wa mkaa ili kulinda mazingira. lengo ni kujifunza wenzetu wanatunza vipi mazingira. ahsante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…