mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Huyo demu amepigwa pasi kwenye masaburi. Labda sura tu ndio nzuri ila kivutio pendwa cha utalii hana.
We Unayo??Hana chura
Nimuonee wivu kwa lipi labda??? Nina sura nzuri kumzidi nina umbo zuri kumzidi nina mguu mzuri kumzidi nina maisha yangu niliyoridhika nayo nina mume nina watoto na bado akisimama na mimi ni km atajichoreshaAcha wivu
Hisia ni muhimu pia, usiangalie tabia tuMi kwa mtazamo wangu siku zote naamini uzuri wa mwanamke upo kwenye tabia yake sio sura yake,
Naamini uzuri wa mwanamke upo kwenye tabia kwa 98%, kwangu mimi nikitaka kujua mwanamke mzuri ni yule mwenye tabia nzuri,
Siku zote sura ya mwanamke kwangu ni bonus ya 2%, kwangu Mimi mwanamkee mzuri ni mwenye tabia nzuri sio sura,
Kumbe shida yako pesaNimuonee wivu kwa lipi labda??? Nina sura nzuri kumzidi nina umbo zuri kumzidi nina mguu mzuri kumzidi nina maisha yangu niliyoridhika nayo nina mume nina watoto na bado akisimama na mimi ni km atajichoresha
Ananizidi nywele tu ambazo mimi najikubali na kipililpili changu na nikitaka nibane km zake naweza ni swala la pesa tu
Nimuonee wivu kwa lipi hasa demu wenu mbaya macho yenu yana matege sio makengeza
Weka sura yako tuioneNimuonee wivu kwa lipi labda??? Nina sura nzuri kumzidi nina umbo zuri kumzidi nina mguu mzuri kumzidi nina maisha yangu niliyoridhika nayo nina mume nina watoto na bado akisimama na mimi ni km atajichoresha
Ananizidi nywele tu ambazo mimi najikubali na kipililpili changu na nikitaka nibane km zake naweza ni swala la pesa tu
Nimuonee wivu kwa lipi hasa demu wenu mbaya macho yenu yana matege sio makengeza
Kwani kuna wengine rangi inawaangusha?????Dah kweli kila mtu ana vigezo vyake....sasa hapo alichokuzuzua nini huyo demu zaidi ya hiyo Rangi inayommbeba.
Nywele zake kuzipata ni swala la kuamua tu lkn ni mpk uwe na pesa na kwa taarifa yako situmiagi nywele za maitiKumbe shida yako pesa
Huwa unatumia za nani SasaNywele zake kuzipata ni swala la kuamua tu lkn ni mpk uwe na pesa na kwa taarifa yako situmiagi nywele za maiti
We unayoTatizo hana chura!
Mkuu wa Chura nakukubali sana sana MkuuTatizo hana chura!
We unaloHUYU KAJALIWA SURA, ANAFAA KWA KAZ YA KUNYONYA KONI, MAANA TAKO HANA