Naj: Toka Niachane nae Sijapata Mtu kama Mr Blue

Naj: Toka Niachane nae Sijapata Mtu kama Mr Blue

Laki tu mpendwa, unapona dakika hyo hyo, we endekeza ubahili Itaku cost tena hyo lak kwa kuwa n wewe binamu

Mi labda nitoe hiyo pesa niombewe niiwe kama bakhresa hiv hiv tu hapana aisee,unataja kunipeleka kwa TB Joshua!!!!
 
Tatizo Blu ndo kamtoa Bikra hawezi msahau kamwe hata wakizeeka Blu akiomba gemu atapewa tu.
 
Kwa hiyo hili ni tangazo anatafuta au aaaaa wap yaan Uk akose wanaume wa maana hapo nabishiiii labda ana bakulii

bakuli? kama hili?

bowl-1024x664.jpg
 


Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya ambaye huwa anaishi na kufanya Kazi nchini Uingereza Naj amefunguka kuwa Tangu aachane Mr Blue zaidi ya Mwaka mmoja na miezi kadhaa iliyopita hajawahi kukutana na Mwanaume na wala hajawahi kumpenda mwanaume yeyote.

Naj amefunguka hivi karibuni kabla hajaelekea U.K akaendelea kunitiririkia kuwa alikua na Mr Blue kwa miaka mitano na ikaishia kwa yeye kukimbiwa na Blue akamkana hadharani na kuanzisha mahusiano na mwanadada mwingine hali iliyomhuzunisha na kujutia muda wake.

Naj akamalizia kwa kuniuliza Je angeutumia muda huo kwa kupiga kazi si angekua mbali sana? kwa hiyo sasa hivi anacho angalia ni kazi tu kwa kwenda mbele, yuko singo.

Ogopa sana mdada akisema hivyo, haswa mtu kama yeye
 


Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya ambaye huwa anaishi na kufanya Kazi nchini Uingereza Naj amefunguka kuwa Tangu aachane Mr Blue zaidi ya Mwaka mmoja na miezi kadhaa iliyopita hajawahi kukutana na Mwanaume na wala hajawahi kumpenda mwanaume yeyote.

Naj amefunguka hivi karibuni kabla hajaelekea U.K akaendelea kunitiririkia kuwa alikua na Mr Blue kwa miaka mitano na ikaishia kwa yeye kukimbiwa na Blue akamkana hadharani na kuanzisha mahusiano na mwanadada mwingine hali iliyomhuzunisha na kujutia muda wake.

Naj akamalizia kwa kuniuliza Je angeutumia muda huo kwa kupiga kazi si angekua mbali sana? kwa hiyo sasa hivi anacho angalia ni kazi tu kwa kwenda mbele, yuko singo.


d na.jpg

Hivi inamaana Jamaa aliishia kupga nae picha tu???
 


Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya ambaye huwa anaishi na kufanya Kazi nchini Uingereza Naj amefunguka kuwa Tangu aachane Mr Blue zaidi ya Mwaka mmoja na miezi kadhaa iliyopita hajawahi kukutana na Mwanaume na wala hajawahi kumpenda mwanaume yeyote.

Naj amefunguka hivi karibuni kabla hajaelekea U.K akaendelea kunitiririkia kuwa alikua na Mr Blue kwa miaka mitano na ikaishia kwa yeye kukimbiwa na Blue akamkana hadharani na kuanzisha mahusiano na mwanadada mwingine hali iliyomhuzunisha na kujutia muda wake.

Naj akamalizia kwa kuniuliza Je angeutumia muda huo kwa kupiga kazi si angekua mbali sana? kwa hiyo sasa hivi anacho angalia ni kazi tu kwa kwenda mbele, yuko singo.


d na naj.jpg

Mi naamini inawezekana jamaa alionjeshwa aisee
 
Hakuonjaa alikula mpaka akakinaifiwaa kabisa akatupa kulee!!!!!!zingekua zinabandikwa usoni angekua ana kila aina ya mbunyee

Hahaha umeniongezea siku zakuishi (happy)
 
Kuna mbunge mmja ivi muheshimiwa diamond alimla kwenye gari dah , yule mama sijui kama ndoa yake ilisalimik
 
Back
Top Bottom