Laki tu mpendwa, unapona dakika hyo hyo, we endekeza ubahili Itaku cost tena hyo lak kwa kuwa n wewe binamu
Mi labda nitoe hiyo pesa niombewe niiwe kama bakhresa hiv hiv tu hapana aisee,unataja kunipeleka kwa TB Joshua!!!!
Tatizo Blu ndo kamtoa Bikra hawezi msahau kamwe hata wakizeeka Blu akiomba gemu atapewa tu.
Kwa hiyo hili ni tangazo anatafuta au aaaaa wap yaan Uk akose wanaume wa maana hapo nabishiiii labda ana bakulii
Tatizo Blu ndo kamtoa Bikra hawezi msahau kamwe hata wakizeeka Blu akiomba gemu atapewa tu.
Tatizo Blu ndo kamtoa Bikra hawezi msahau kamwe hata wakizeeka Blu akiomba gemu atapewa tu.
Mi alienitoa bikra hata sijui ashakufa hata sina muda nae wala simkumbukiii
Kumbe ukimtoa mtu bikira usahauliki eeenh na ukiomba unapewa tu.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya ambaye huwa anaishi na kufanya Kazi nchini Uingereza Naj amefunguka kuwa Tangu aachane Mr Blue zaidi ya Mwaka mmoja na miezi kadhaa iliyopita hajawahi kukutana na Mwanaume na wala hajawahi kumpenda mwanaume yeyote.
Naj amefunguka hivi karibuni kabla hajaelekea U.K akaendelea kunitiririkia kuwa alikua na Mr Blue kwa miaka mitano na ikaishia kwa yeye kukimbiwa na Blue akamkana hadharani na kuanzisha mahusiano na mwanadada mwingine hali iliyomhuzunisha na kujutia muda wake.
Naj akamalizia kwa kuniuliza Je angeutumia muda huo kwa kupiga kazi si angekua mbali sana? kwa hiyo sasa hivi anacho angalia ni kazi tu kwa kwenda mbele, yuko singo.
Tatizo Blu ndo kamtoa Bikra hawezi msahau kamwe hata wakizeeka Blu akiomba gemu atapewa tu.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya ambaye huwa anaishi na kufanya Kazi nchini Uingereza Naj amefunguka kuwa Tangu aachane Mr Blue zaidi ya Mwaka mmoja na miezi kadhaa iliyopita hajawahi kukutana na Mwanaume na wala hajawahi kumpenda mwanaume yeyote.
Naj amefunguka hivi karibuni kabla hajaelekea U.K akaendelea kunitiririkia kuwa alikua na Mr Blue kwa miaka mitano na ikaishia kwa yeye kukimbiwa na Blue akamkana hadharani na kuanzisha mahusiano na mwanadada mwingine hali iliyomhuzunisha na kujutia muda wake.
Naj akamalizia kwa kuniuliza Je angeutumia muda huo kwa kupiga kazi si angekua mbali sana? kwa hiyo sasa hivi anacho angalia ni kazi tu kwa kwenda mbele, yuko singo.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya ambaye huwa anaishi na kufanya Kazi nchini Uingereza Naj amefunguka kuwa Tangu aachane Mr Blue zaidi ya Mwaka mmoja na miezi kadhaa iliyopita hajawahi kukutana na Mwanaume na wala hajawahi kumpenda mwanaume yeyote.
Naj amefunguka hivi karibuni kabla hajaelekea U.K akaendelea kunitiririkia kuwa alikua na Mr Blue kwa miaka mitano na ikaishia kwa yeye kukimbiwa na Blue akamkana hadharani na kuanzisha mahusiano na mwanadada mwingine hali iliyomhuzunisha na kujutia muda wake.
Naj akamalizia kwa kuniuliza Je angeutumia muda huo kwa kupiga kazi si angekua mbali sana? kwa hiyo sasa hivi anacho angalia ni kazi tu kwa kwenda mbele, yuko singo.
Hakuonjaa alikula mpaka akakinaifiwaa kabisa akatupa kulee!!!!!!zingekua zinabandikwa usoni angekua ana kila aina ya mbunyee
Hakuonjaa alikula mpaka akakinaifiwaa kabisa akatupa kulee!!!!!!zingekua zinabandikwa usoni angekua ana kila aina ya mbunyee
Kwahyo uyo mtoto alitaka kuuza gazeti tu