Nenda kanisani ukapate maombi na maombezi mkuu! Nenda fasta!najaribiwa sana sana!lkn ni kutokana na mabaya mengi aliyonifanyia.nilijaribiwa kufanya vitu vingi vibaya lkn nimeishinda nafsi yangu!lkn kwa sasa najaribiwa tena kumfanyia kitu mbaya but ni kwa sababu bado anaendeleea kunifanyia mabaya.yan this time sijui kama nitaishinda nafsi yangu coz its too much jamani!
We Uporoto wewe! Mwenzio anahuzuni badala ya kumfariji! Huyo mjomba wako kiboko maana hilo jina alilowapa.Huyu dada kila akishapiga chupa zake za konyagi anakuja na mambo ya ajabu mara nimemkopesha mume wangu hataki kulipa,mume kumuua mwanetu,kanizuia kuingia kwangu kazungusha ukuta kwa hela zangu mradi vurugu tupu na ukimuuliza maswali anataka um-pm,ukimshauri hataki. Nadhani ni mtu anayependa kuonewa huruma mjomba wangu anawaita tumefiwa type lol !
Safi sana!Vijana wengi wa kileo wanajua kuangalia movie tu!Hata vitabu tu hawasomi achilia mbali biblia!"Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, nisije nikakutenda dhambi." Zaburi 119:11
Safi sana!Vijana wengi wa kileo wanajua kuangalia movie tu!Hata vitabu tu hawasomi achilia mbali biblia!
Thank YOU daddy!!I have reared you well daughter.
Jaribu kusoma thread zake zingine utanielewa.We Uporoto wewe! Mwenzio anahuzuni badala ya kumfariji! Huyo mjomba wako kiboko maana hilo jina alilowapa.
pole pole dada, usirundike hasira damuni, sameheneni binadamu coz no one is perfect.najaribiwa sana sana!lkn ni kutokana na mabaya mengi aliyonifanyia.nilijaribiwa kufanya vitu vingi vibaya lkn nimeishinda nafsi yangu!lkn kwa sasa najaribiwa tena kumfanyia kitu mbaya but ni kwa sababu bado anaendeleea kunifanyia mabaya.yan this time sijui kama nitaishinda nafsi yangu coz its too much jamani!
Jaribu kudoma thread zake zingine utanielewa.
asante lakini ustaarabu una mwisho pia.anayonofanyia its too much.this time am seriouspole pole dada, usirundike hasira damuni, sameheneni binadamu coz no one is perfect.
si bora ningekuwa nakunywa ningepoteza mawazo.lkn natamani sana kama kungekuwa na ulimwengu mwingine ningeopt kwenda kuish huko coz naona kabisa nakaribia kupata kesi ya mauaji.nasikia harufu ya damu!eeh mungu nisaidie!
Pole mwaya!Kwanini usijitenge nae tu?![/QUOTE
thanx
We mdada mbona mpaka unogopesha. Mbona wadada wengi wanasifika kwa roho ya huruma na uvumilivu. Lakini as for you inaonekana umefikia suturation point..msamahe na sahau yaliyotokea!Pole mwaya!Kwanini usijitenge nae tu?![/QUOTEthanx
Safi sana!Vijana wengi wa kileo wanajua kuangalia movie tu!Hata vitabu tu hawasomi achilia mbali biblia!
I have reared you well daughter.
Mr daddy nakuomba, niachie wangu huyu
...