lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Kwa sababu ni makomandoo huenda wangeweza.
Nakuuliza hivi,
Wangetumia mapanga ya kawaida au mapanga maalumu?
Au wangetumia mashine za kukatia miti?
Je, Mabwana misitu wangewaacha tu?
Au wangekuwa wanakata huku wamevalia mavazi ya mabakamabaka kw a hiyo mabwanaisitu wangewaogopa?
Je, Wangekua wanatumia gari kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine? Maana ni parefu Sana kutoka Dar Hadi moro na kutoka Moro Hadi Iringa.
Je, wangetumia gari binafsi au wangekua wanapanda mabasi na mapanga yao mikononi?
Je, wangetumia siku ngapi kufanya Ugaidi huo wa kukata Miti?
Je, wangekua wanapata muda wa kupata kifungua kinywa na chakula cha mchana na usiku?
Je, kama wangekua wanakata huku wanatembea wangepitaje pale kitonga? Wale nyani wakali wangewaacha salama kweli au kwa vile ni ma skauti wenye mafunzo mazito wangepigana judo na manyani?
Au wangetumia ile bastola yao?
Najiuliuliza hivi kwa nini zoezi la kukata Miti ni kwa njia ya Dar iringa tu?
Kwa nini isiwe pia kwa Dar Arusha,Dar Mtwara,Dar Mwanza?
Kwa nini zoezi liselingeendelea Hadi Mbeya,na Ruvuma?
Lol aisee! Shilingi laki sita Mbowe aliwapunja sana.maana kuna wengine walikua tayari Wana biashara. Zao kupata laki sita kwa mwezi hazikua shida.
Au Mbowe aliwaahidi dau kubwa Sana mara baada ya kumaliza kazi ya kukata Miti.
Je, walikua na uhakika gani kama watamaliza salama kazi ya kukata Miti? Maana kuna Miti mingine ina nyoka wakali kama koboko.
Kwa kweli Mbowe ni mbahili Sana huwezi kuwapa watu wanne wakate miti kwa shilingi laki sita.
Sijaona popote kama wangetumia gari binafsi ambalo lingehitaji mafuta na dereva,sijaona panga,Shoka wala mashine ya kukatia miti.
Laki sita kwa watu wanne hailipi bana.
Nakuuliza hivi,
Wangetumia mapanga ya kawaida au mapanga maalumu?
Au wangetumia mashine za kukatia miti?
Je, Mabwana misitu wangewaacha tu?
Au wangekuwa wanakata huku wamevalia mavazi ya mabakamabaka kw a hiyo mabwanaisitu wangewaogopa?
Je, Wangekua wanatumia gari kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine? Maana ni parefu Sana kutoka Dar Hadi moro na kutoka Moro Hadi Iringa.
Je, wangetumia gari binafsi au wangekua wanapanda mabasi na mapanga yao mikononi?
Je, wangetumia siku ngapi kufanya Ugaidi huo wa kukata Miti?
Je, wangekua wanapata muda wa kupata kifungua kinywa na chakula cha mchana na usiku?
Je, kama wangekua wanakata huku wanatembea wangepitaje pale kitonga? Wale nyani wakali wangewaacha salama kweli au kwa vile ni ma skauti wenye mafunzo mazito wangepigana judo na manyani?
Au wangetumia ile bastola yao?
Najiuliuliza hivi kwa nini zoezi la kukata Miti ni kwa njia ya Dar iringa tu?
Kwa nini isiwe pia kwa Dar Arusha,Dar Mtwara,Dar Mwanza?
Kwa nini zoezi liselingeendelea Hadi Mbeya,na Ruvuma?
Lol aisee! Shilingi laki sita Mbowe aliwapunja sana.maana kuna wengine walikua tayari Wana biashara. Zao kupata laki sita kwa mwezi hazikua shida.
Au Mbowe aliwaahidi dau kubwa Sana mara baada ya kumaliza kazi ya kukata Miti.
Je, walikua na uhakika gani kama watamaliza salama kazi ya kukata Miti? Maana kuna Miti mingine ina nyoka wakali kama koboko.
Kwa kweli Mbowe ni mbahili Sana huwezi kuwapa watu wanne wakate miti kwa shilingi laki sita.
Sijaona popote kama wangetumia gari binafsi ambalo lingehitaji mafuta na dereva,sijaona panga,Shoka wala mashine ya kukatia miti.
Laki sita kwa watu wanne hailipi bana.