Najaribu kuwaza, kwa kasi hii ukubwa wa Deni la Taifa 2030 litakuwaje? Je, kuna haja ya kuhofu?

Najaribu kuwaza, kwa kasi hii ukubwa wa Deni la Taifa 2030 litakuwaje? Je, kuna haja ya kuhofu?

Binafsi sipingi kukopa ila mambo mawili tu ndiyo ya msingi yananifanya niwaze

1. Je pesa tunakopo zinakwenda sehemu sahihi.

2. kwa rasilimali tulizonazo tunasitahili kukopo kwa kiasi hiki?

Je, kwa hii kasi tuko kwenye uelekeo sahihi?

========

Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.

Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”

Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
Tunashukuru Mods kwa weledi wenu
 
Kama tunakopa Kwa ajili ya miradi ya kimkakati bila shaka ikikamilika basi serikali itasitisha kukopa na faida ya miradi itakuza uchumi utakaowezesha kulipa madeni.

Binafsi sioni haja ya wananchi kuhofu hebu tuwe na imani na viongozi wetu Kwa maelezo yao wanaonekana wana nia nzuri na nchi yetu na deni bado la kawaida ukilinganisha na mwenendo wa uchumi wetu.
 
Binafsi sipingi kukopa ila mambo mawili tu ndiyo ya msingi yananifanya niwaze

1. Je pesa tunakopo zinakwenda sehemu sahihi.

2. kwa rasilimali tulizonazo tunasitahili kukopo kwa kiasi hiki?

Je, kwa hii kasi tuko kwenye uelekeo sahihi?

========

Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.

Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”

Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
Hii mikopo ingekua inafanya mambo ya maana angalau ila kama ni haya mambo yakununua V8 na kugawa Hela kama pipi ,nimeona kamanda wa Burkina Faso amewekeza kwenye miradi yenye tija badala ya hayo ma v8 kanunua tractors na kupunguza mishahara ya mawaziri huku akiongeza mishahara ya wafanyakazi kwa 50%, ni kiongozi wakuigwa kwa tunakoelekea hili deni si rafiki hata kidogo na hili kwa % kubwa ni haya mambo ya uchaguzi ,,,kwa ukubwa wa hii nchi Tungewekeza kwenye kilimo ,viwanda na kumalizia viporo VYA miradi yenye tija ,hayo mapikipiki na magari yanatuongezea madeni zaidi
 
Hii mikopo ingekua inafanya mambo ya maana angalau ila kama ni haya mambo yakununua V8 na kugawa Hela kama pipi ,nimeona kamanda wa Burkina Faso amewekeza kwenye miradi yenye tija badala ya hayo ma v8 kanunua tractors na kupunguza mishahara ya mawaziri huku akiongeza mishahara ya wafanyakazi kwa 50%, ni kiongozi wakuigwa kwa tunakoelekea hili deni si rafiki hata kidogo na hili kwa % kubwa ni haya mambo ya uchaguzi ,,,kwa ukubwa wa hii nchi Tungewekeza kwenye kilimo ,viwanda na kumalizia viporo VYA miradi yenye tija ,hayo mapikipiki na magari yanatuongezea madeni zaidi
Uko sahihi
 
Binafsi sipingi kukopa ila mambo mawili tu ndiyo ya msingi yananifanya niwaze

1. Je pesa tunakopo zinakwenda sehemu sahihi.

2. kwa rasilimali tulizonazo tunasitahili kukopo kwa kiasi hiki?

Je, kwa hii kasi tuko kwenye uelekeo sahihi?

========

Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.

Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”

Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
Lamamayéee!
Bado hamjasema mpaka mseme.
 
Kikubwa ni kua sisi wananchi hatulipi linalipwa na serikali.
Kumbuka kodi zenu ndizo zitakazolipa hayo madeni.
Mapato yanayokusanywa ndio yanalipa hilo deni.
Mkishindwa mjiandae shilingi yenu kuporomoka zaidi kwasababu ya hilo deni.
Halafu tuone ataumia serikali ama wananchi?
 
Ingekua tunatozwa direct kwa ajili ya kulipa Deni hapo ingekua mbaya
Bro itizame Kenya deni la taifa linavyowaumiza.
Deni likifikia above 45% ya GDP sio himilivu tena.
Hii ina athari mpaka kwa raia mitaani refer kwa Kenya.
Msijidanganye hamtaumia mazeeh.
 
Kikubwa ni kua sisi wananchi hatulipi linalipwa na serikali.
Aisee we jamaa unaishi shimoni? Mi nimetoa elfu 20 kwa wakala nikakatwa 1800 zikaniuma nikaangalia makato nikaona tozo ipo kubwa na ya kutosha sasa we unasemaje wananchi hatulipi deni? Hizo tozo zinaenda wapi kufanya nini? Kataa mikopo unalipa wewe!!
 
Kagame alijisemea ukiwa kiongozi kwenye nchi yenye rasilimali kama madini na gesi na bado unaenda kuomba misaada na kukopa kila siku basi ujue kabisa una matatizo ya akili
 
Binafsi sipingi kukopa ila mambo mawili tu ndiyo ya msingi yananifanya niwaze

1. Je pesa tunakopo zinakwenda sehemu sahihi.

2. kwa rasilimali tulizonazo tunasitahili kukopo kwa kiasi hiki?

Je, kwa hii kasi tuko kwenye uelekeo sahihi?

========

Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.

Akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma leo June 13,2024, Mkumbo amesema “deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 30,753.8 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 60,954.5”

Itakumbukwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma March 28,2024 moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Serikali ambapo alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022, deni hilo lilijumuisha deni la ndani Tsh. trilioni 28.92 na deni la nje Tsh. trilioni 53.32”
Mbona huzungumzii Ukubwa wa Uchumi wa Nchi?

Mwigulu ameweka wazi kwamba hoja iwe hela zimekopwa zimetumika wapi na sio kukopa au Ukubwa wa deni.

Hata hivyo sababu zilizochangia Ukubwa wa deni ni depreciation of Shiling na kuongezeka Kwa riba kwenye masoko ya Nje yaani floating rates, tofauti watu kudhani Kila deni likiobgezeka basi Serikali imechukua Mkopo Mpya,huo ni upotovu unaosababishwa na ujinga tuu wa kitoelewa mambo.

Mwisho Kuna Rais hajawahi kukopa? 👇👇
Screenshot_20240613-135611.jpg
Screenshot_20240613-135946.jpg
Screenshot_20240613-140329.jpg
 
Hii mikopo ingekua inafanya mambo ya maana angalau ila kama ni haya mambo yakununua V8 na kugawa Hela kama pipi ,nimeona kamanda wa Burkina Faso amewekeza kwenye miradi yenye tija badala ya hayo ma v8 kanunua tractors na kupunguza mishahara ya mawaziri huku akiongeza mishahara ya wafanyakazi kwa 50%, ni kiongozi wakuigwa kwa tunakoelekea hili deni si rafiki hata kidogo na hili kwa % kubwa ni haya mambo ya uchaguzi ,,,kwa ukubwa wa hii nchi Tungewekeza kwenye kilimo ,viwanda na kumalizia viporo VYA miradi yenye tija ,hayo mapikipiki na magari yanatuongezea madeni zaidi
✍️📝👍👌👊👏🤝🙏💐🎁🙋‍♂️🛡️
 
Harafu inakuja panya moja inasema tz tukope tu maana tunakopa kwa asilimia 5 kuna majinga hii nchi na inatakiwa aje kiongozi kauzu hawa machawa wote awatie ndani na kufukuza kazi.
 
Back
Top Bottom