Najiandaa kuanza kuzalisha/ Kuuza Kware wa Nya.

Najiandaa kuanza kuzalisha/ Kuuza Kware wa Nya.

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Nilipata Breed ya Kware wakubwa Jumbo kutoka nchi noja hivi, na naendelea kuwa breed kwa sasa.

Mahesabu nilio piga ni kwamba Bongo kwa sasa kitoweo ni Biashara kubwa sana.

Fikiria Vile visamaki vinavyo vuliwa kwenye Mabwawa kama Nyumba ya Mungu au Mtela, ni vidogo sana ila ndo kitoweo cha watu.

Hawa Kware wa Nyama wana Gram za hadi 400+ hii ni Uzito mkubwa sana unatosha kabisa.

Mpango ni kuchinja Kware zaidi ya 2000 kila siku na Kware 60, 000 kwa Mwezi.

Kware wana Mature mapema sana miezi miwili na ulaji wao uko chini sana.

Lengo hasa ni kutarget soko la kitoweo, ambao watu watu watajuwa wanachukua wanakaanga na kuuza mtaani.
FB_IMG_1629379611592.jpg
FB_IMG_1628868400858.jpg
FB_IMG_1627547696989.jpg


FB_IMG_1631330806756.jpg


FB_IMG_1630919232447.jpg


FB_IMG_1629301405848.jpg
 
Vizuri sana mkuu. tutafwatilia kwa karibu ili kujifunza.
 
Nilipata Breed ya Kware wakubwa Jumbo kutoka nchi noja hivi, na naendelea kuwa breed kwa sasa.

Mahesabu nilio piga ni kwamba Bongo kwa sasa kitoweo ni Biashara kubwa sana.

Fikiria Vile visamaki vinavyo vuliwa kwenye Mabwawa kama Nyumba ya Mungu au Mtela, ni vidogo sana ila ndo kitoweo cha watu.

Hawa Kware wa Nyama wana Gram za hadi 400+ hii ni Uzito mkubwa sana unatosha kabisa.

Mpango ni kuchinja Kware zaidi ya 2000 kila siku na Kware 60, 000 kwa Mwezi.

Kware wana Mature mapema sana miezi miwili na ulaji wao uko chini sana.

Lengo hasa ni kutarget soko la kitoweo, ambao watu watu watajuwa wanachukua wanakaanga na kuuza mtaani.View attachment 1933850View attachment 1933853View attachment 1933858

View attachment 1933847

View attachment 1933848

View attachment 1933851
Miaka ya 2000 wakenya waliwapiga sana watu kwa kuwauzia mbegu za kware na sungura halafu wateja wa kununua mayai na nyama hawakupatikana biashara ikafa.
Mkuu kama utazalisha mwenyewe uchinje mwenyewe uuze nyama utafanikiwa ila kuuza mbegu za kware hutapata wayeja.
Hao kware wapo Tz mda mrefu tu.
Watanzania wengi hawapendi nyama wasizozijua, wamexoea kuku hata bata hawamtaki.
 
Miaka ya 2000 wakenya waliwapiga sana watu kwa kuwauzia mbegu za kware na sungura halafu wateja wa kununua mayai na nyama hawakupatikana biashara ikafa.
Mkuu kama utazalisha mwenyewe uchinje mwenyewe uuze nyama utafanikiwa ila kuuza mbegu za kware hutapata wayeja.
Hao kware wapo Tz mda mrefu tu.
Watanzania wengi hawapendi nyama wasizozijua, wamexoea kuku hata bata hawamtaki.
Kware kama nyama ni biashara world wide
 
Miaka ya 2000 wakenya waliwapiga sana watu kwa kuwauzia mbegu za kware na sungura halafu wateja wa kununua mayai na nyama hawakupatikana biashara ikafa.
Mkuu kama utazalisha mwenyewe uchinje mwenyewe uuze nyama utafanikiwa ila kuuza mbegu za kware hutapata wayeja.
Hao kware wapo Tz mda mrefu tu.
Watanzania wengi hawapendi nyama wasizozijua, wamexoea kuku hata bata hawamtaki.
Mbegu za kware za nini tena? Mimi si kwamba baada ya ule utapeli wa mayai sijaacha kufuga sema kwa sasa nina Breed kubwa.

Kware kama nyama haina shida na nilitest kipindi fulani kwenye Baa fulani Arusha ilipata sana watu sema nilikuwa na mzigo mchache.

Mpaka leo nina Oda special yazungu yuko USA River anachukuaga kwa wiki kama 30 hadi 50 ila anaenda kuchinja mwenyewe.

So mkuu sitatataka kuuza mayai ya mbegu wala wale hai wa kwenda kufuga.
 
Acha ukatili na uuwaji, yaani upate pesa kwa kuua viumbe wasiokuwa na hatia, karma huwa haipotei njia
 
Nilipata Breed ya Kware wakubwa Jumbo kutoka nchi noja hivi, na naendelea kuwa breed kwa sasa.

Mahesabu nilio piga ni kwamba Bongo kwa sasa kitoweo ni Biashara kubwa sana.

Fikiria Vile visamaki vinavyo vuliwa kwenye Mabwawa kama Nyumba ya Mungu au Mtela, ni vidogo sana ila ndo kitoweo cha watu.

Hawa Kware wa Nyama wana Gram za hadi 400+ hii ni Uzito mkubwa sana unatosha kabisa.

Mpango ni kuchinja Kware zaidi ya 2000 kila siku na Kware 60, 000 kwa Mwezi.

Kware wana Mature mapema sana miezi miwili na ulaji wao uko chini sana.

Lengo hasa ni kutarget soko la kitoweo, ambao watu watu watajuwa wanachukua wanakaanga na kuuza mtaani.View attachment 1933850View attachment 1933853View attachment 1933858

View attachment 1933847

View attachment 1933848

View attachment 1933851

Vipi ndugu nikitaka kununua mayai utaniuzia?
 
Mbegu za kware za nini tena? Mimi si kwamba baada ya ule utapeli wa mayai sijaacha kufuga sema kwa sasa nina Breed kubwa.

Kware kama nyama haina shida na nilitest kipindi fulani kwenye Baa fulani Arusha ilipata sana watu sema nilikuwa na mzigo mchache.

Mpaka leo nina Oda special yazungu yuko USA River anachukuaga kwa wiki kama 30 hadi 50 ila anaenda kuchinja mwenyewe.

So mkuu sitatataka kuuza mayai ya mbegu wala wale hai wa kwenda kufuga.
Ukubwa wao hufikia kg ngapi mkuu?
 
Hongera mkuu, wazo zuri. Sorry mkuu, hivi naweza kupata wapi kwale wa mbegu? au hata mayai ya kutotolesha.
 
Biashara za mtandaoni zinafutia sana, ila ingia sasa ndio utajua hujui.
 
Back
Top Bottom