Najiandaa kwenda club muda huu nipo Kigali, naombeni maelekezo

Najiandaa kwenda club muda huu nipo Kigali, naombeni maelekezo

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Wakuu nipo nchi jirani, nimeoga nimevaa vizuri sasa mda huu natafuta night club nzuri nikapoteze mda. Jiji la Kigali ndiyo mara yangu ya kwanza kuja. Hii miji ya watu sipendi kuparamia bila kupata mwongozo kwa wazoefu

NB: Siendi kupombeka wala kutafuta kahaba.

Naenda kunywa wine tu, nishangae muda uende nirudi kulala maana pombe na umalaya niliapa nimeacha.
View attachment 2343468
 
.
1661875852075.jpg
 
Wakuu nipo nchi jirani, nimeoga nimevaa vizuri sasa mda huu natafuta night club nzuri nikapoteze mda. Jiji la Kigali ndomara yangu ya kwanza Kuja hii miji ya watu sipendi kuparamia bila kupata mwongozo kwa wazoefu

N. B. Siendi kupombeka wala kutafuta kahaba. Naenda kunywa Wine tu nishangae mda uende nirudi kulala maana pombe na umalaya niliapa nimeacha
View attachment 2343468
Wine sio pombe/kilevi?
 
Back
Top Bottom