Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa mpwayungu ina fujo nyingi sanaDry wine haina kilevi sio?
Mademu wa Rwanda ni vishoka. Hao ni viwembe hasa wakijua wewe ni dereva au utingo wa malori. Kaa nao mbali kabisa maana usijeanza kumuibia boss wenu mafuta kwenye mapori ya runzewe na masumbwe.Wakuu nipo nchi jirani, nimeoga nimevaa vizuri sasa mda huu natafuta night club nzuri nikapoteze mda. Jiji la Kigali ndomara yangu ya kwanza Kuja hii miji ya watu sipendi kuparamia bila kupata mwongozo kwa wazoefu
N. B. Siendi kupombeka wala kutafuta kahaba.
Naenda kunywa Wine tu nishangae mda uende nirudi kulala maana pombe na umalaya niliapa nimeacha
View attachment 2343468
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ni watu wa vizinga etiMademu wa Rwanda ni vishoka. Hao ni viwembe hasa wakijua wewe ni dereva au utingo wa malori. Kaa nao mbali kabisa maana usijeanza kumuibia boss wenu mafuta kwenye mapori ya runzewe na masumbwe.
Ingia club iliyopo hapo gorofanMimi nimeingia hapa musoma town sijui nikale wapi monde la club
Anaitwa Nani.. Unaweza nitumie namba yake PMSema mwamba huwa sikuamini kivile.
Ungekuwa unaaminika na kweli uko Rwanda ningekuunga na mrembo angekutembeza hadi ufurahi.
Lakini kichwa chako kina madish mengi na mawimbi yanaingikiana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji12]Dry wine haina kilevi sio?
Nimetimba hapa dk kumi zilizopita asee pamebamba hatari.Ingia club iliyopo hapo gorofan
Haina noma, kula usingizi BudaNimetimba hapa dk kumi zilizopita asee pamebamba hatari.
Hahahahahhahhahhahhahaa!.Ukiwa rwanda haileweshi ni sharubati😁
Umesema kwamba!?Au ndy picha yako ya kupigia nyeto hapo ghetto?