Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Unakijua unachokitaka, tunakijua unachokitaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Unakijua unachokitaka, tunakijua unachokitaka.
Kila la kheri, halahala baharia. Ugenini huko
Big upSema nini man unaupiga mwingi
Wine sio pombe/kilevi?Wakuu nipo nchi jirani, nimeoga nimevaa vizuri sasa mda huu natafuta night club nzuri nikapoteze mda. Jiji la Kigali ndomara yangu ya kwanza Kuja hii miji ya watu sipendi kuparamia bila kupata mwongozo kwa wazoefu
N. B. Siendi kupombeka wala kutafuta kahaba. Naenda kunywa Wine tu nishangae mda uende nirudi kulala maana pombe na umalaya niliapa nimeacha
View attachment 2343468
Mbona unamrusha sana mke wa mtu?
😋😋😋😋😋😋 fancy food, anipe kazi ya kumpiga deki tu inatosha
Hii picha unaipenda sn mkuu..ukiandika Stori ya Rwanda lazima usindikize na hii picha
Nilitaka kuuliza piaWine sio pombe/kilevi?
Ni dry mkuu sio whiskeyWine sio pombe/kilevi?
Dry wine haina kilevi sio?Ni dry mkuu sio whiskey
Ukiwa rwanda haileweshi ni sharubati😁Dry wine haina kilevi sio?
Hahahahahahahahahhhhh hii nayo kali ya mwakaUkiwa rwanda haileweshi ni sharubati😁
Sema mwamba huwa sikuamini kivile.Ni dry mkuu sio whiskey