Najiandaa kwenda club muda huu nipo Kigali, naombeni maelekezo

Mademu wa Rwanda ni vishoka. Hao ni viwembe hasa wakijua wewe ni dereva au utingo wa malori. Kaa nao mbali kabisa maana usijeanza kumuibia boss wenu mafuta kwenye mapori ya runzewe na masumbwe.
 
Mademu wa Rwanda ni vishoka. Hao ni viwembe hasa wakijua wewe ni dereva au utingo wa malori. Kaa nao mbali kabisa maana usijeanza kumuibia boss wenu mafuta kwenye mapori ya runzewe na masumbwe.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ni watu wa vizinga eti
 
Sema mwamba huwa sikuamini kivile.

Ungekuwa unaaminika na kweli uko Rwanda ningekuunga na mrembo angekutembeza hadi ufurahi.

Lakini kichwa chako kina madish mengi na mawimbi yanaingikiana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaitwa Nani.. Unaweza nitumie namba yake PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…