Ukiwa na Corona ukiwekwa quarantine unapona?Watanzania wote wana corona so its only right waekwe quarantine nchi yeyote duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara ngap mawaziri wenu wameililia suluhu? sasa imeshindikana wanaanza kujitutumua, laiti tungelikua na shida na kenya sidhani hatua tulizochukua tungezichukua badala yake tungetaka mazungumzo, nadhani mpaka hapo ushaelewa nani anatapa tapa kati ya kenya na tzMbona mnalazimisha muingie kwenye nchi ya watu bila kufuata taratibu zao, nyie huko mna nchi yenu na taratibu zenu, huku tuna kanuni zetu, njaa ikikuuma sana ung'ang'anie kuja huku, fuata masharti yetu upanue mdomo tukupime, na usitujie na vijikaratasi umeghushi hapo Kariokoo eti cheti cha corona.
Ndege zetu kutua Dar hazizidi umuhimu wa afya yetu.
Kinacho wauma nini zaidi mbona sisi tumejibu tu yale mliyotuuliza?Mbona mnalazimisha muingie kwenye nchi ya watu bila kufuata taratibu zao, nyie huko mna nchi yenu na taratibu zenu, huku tuna kanuni zetu, njaa ikikuuma sana ung'ang'anie kuja huku, fuata masharti yetu upanue mdomo tukupime, na usitujie na vijikaratasi umeghushi hapo Kariokoo eti cheti cha corona.
Ndege zetu kutua Dar hazizidi umuhimu wa afya yetu.
we jamaa nadhani ndo mjinga namba moja kwa wakenya wote, mara ngap mawaziri wenu wameililia suluhu? sasa imeshindikana wanaanza kujitutumua, laiti tungelikua na shida na kenya sidhani hatua tulizochukua tungezichukua badala yake tungetaka mazungumzo, nadhani mpaka hapo ushaelewa nani anatapa tapa kati ya kunya na tz
Hasira za kupigwa ban zinawatesa kweli, saivi mnawewezeka kichizi.Lazima mpimwe, hamtaingia mtakavyo, kuna baadhi yetu hatuna habari na mindege, ila hatupo tayari kutiwa rehani.
see rotten apples as a result of Tanzania's retaliation!Watanzania wote wana corona so its only right waekwe quarantine nchi yeyote duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasira za kupigwa ban zinawatesa kweli, saivi mnawewezeka kichizi.
ndege zenu kuja kwetu ziliwapa advantage kuwaleta watalii mlokua mnawadanganya mlima upo kwenu, pia soon tunapanga kupiga ban ndege zenu kutotumia anga letu muwe mnapitia baharini au uganda route zote za kusini nyang'au nyinyi.Mnachekesha mjue, hivi mnajua ni asilimia ngapi ya Wakenya hutumia hizo ndege kuja Dar, mamilioni ya Wakenya hata hawana habari ya hiyo ban ila kwenu huko imetangazwa had kijijini.
Kimsingi huku kwetu kwa sasa hatuwazi kingine ila afya yetu, yeyote anayetokea kwenye taifa lililojichokea lazima apimwe.
ndege zenu kuja kwetu ziliwapa advantage kuwaleta watalii mlokua mnawadanganya mlima upo kwenu, pia soon tunapanga kupiga ban ndege zenu kutotumia anga letu muwe mnapitia baharini au uganda route zote za kusini nyang'au nyinyi.
Hakuna anayelazimisha kuingia, ila on reciprocity principle tuheshimiane. Hakuna kikao, tutafikiria November baada ya uchaguzi.Mbona mnalazimisha muingie kwenye nchi ya watu bila kufuata taratibu zao, nyie huko mna nchi yenu na taratibu zenu, huku tuna kanuni zetu, njaa ikikuuma sana ung'ang'anie kuja huku, fuata masharti yetu upanue mdomo tukupime, na usitujie na vijikaratasi umeghushi hapo Kariokoo eti cheti cha corona.
Ndege zetu kutua Dar hazizidi umuhimu wa afya yetu.
sie hatuendekezi ujinga wakuwafurahisha wazungu utadhani tumekatika vichwa, endeleeni kujifariji na huo ujinga wenu akati tunawapumulia matakoniLazima mpimwe yaani hamna namna wala ujanja wowote, mtang'aka lakini lazima ufungue mdomo utumbukizwe kifaa cha kupima.....ni hilo tu.
sie hatuendekezi ujinga wakuwafurahisha wazungu utadhani tumekatika vichwa, endeleeni kujifariji na huo ujinga wenu akati tunawapumulia matakoni
Hakuna anayelazimisha kuingia, ila on reciprocity principle tuheshimiane. Hakuna kikao, tutafikiria November baada ya uchaguzi.
punguza ujinga, maskini ni nyie mnaotegemea chakula cha msaada kila mwaka, ukiona nchi haijitoshelezi kwa chakula ujue hao ni maskini wakutupwa.Na sisi msisubiri tuendekeze ujinga wa kujichokea kama mnavyofanya kisa umaskini, lazima mpimwe hamuingii katu.
Inawezekana kweli wote Wana korona,lakini mbona hawafi Kama nyie?Watanzania wote wana corona so its only right waekwe quarantine nchi yeyote duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app