ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Huyu Waziri wa Utalii anasimamia msimamo wa Serikali yake lkn bado anataka mazungumzo na Tanzania. Kumbukeni, wakati sisi hatujawakataza kuingia Tanzania, nyie mmezuia kabisa yaani mtu awe na covid free certificate au akose lazima akae 14 days.
Hakuna mazungumzo yoyote yanafanyika. Endeleeni na utataribu wenu nasi tunao wa kwetu. Kila mtu abakie kwao
See more trending news on @ Phoenix Browser Balala Asisitiza Ni Sharti Watanzania Wawekwe Karantini Wanapowasili Nchini Kenya
Hakuna mazungumzo yoyote yanafanyika. Endeleeni na utataribu wenu nasi tunao wa kwetu. Kila mtu abakie kwao
See more trending news on @ Phoenix Browser Balala Asisitiza Ni Sharti Watanzania Wawekwe Karantini Wanapowasili Nchini Kenya