punguza ujinga, maskini ni nyie mnaotegemea chakula cha msaada kila mwaka, ukiona nchi haijitoshelezi kwa chakula ujue hao ni maskini wakutupwa.
Karibu Dodoma MkuuMbona mnalazimisha muingie kwenye nchi ya watu bila kufuata taratibu zao, nyie huko mna nchi yenu na taratibu zenu, huku tuna kanuni zetu, njaa ikikuuma sana ung'ang'anie kuja huku, fuata masharti yetu upanue mdomo tukupime, na usitujie na vijikaratasi umeghushi hapo Kariokoo eti cheti cha corona.
Ndege zetu kutua Dar hazizidi umuhimu wa afya yetu.
ninyi ndo mnalaana, haiwezekani mjisifie uchumi mkubwa then kila mwaka mnategemea chakula cha msaada, nyie ndo mnasafari ndefu dhidi ya taifa letu la maziwa na asali.Itawachukua muda mrefu sana kuikaribia Kenya kiuchumi, ila hivi tatizo huwa nini, ni uzembe au laana...
Tuingie kunya kuna nn cha ziada,,?Na sisi msisubiri tuendekeze ujinga wa kujichokea kama mnavyofanya kisa umaskini, lazima mpimwe hamuingii katu.
Mnachekesha mjue, hivi mnajua ni asilimia ngapi ya Wakenya hutumia hizo ndege kuja Dar, mamilioni ya Wakenya hata hawana habari ya hiyo ban ila kwenu huko imetangazwa had kijijini.
Kimsingi huku kwetu kwa sasa hatuwazi kingine ila afya yetu, yeyote anayetokea kwenye taifa lililojichokea lazima apimwe.
na nyinyi mnaojitosheleza mbna mmejaza omba omba kwenye nchi za wenyewe?punguza ujinga, maskini ni nyie mnaotegemea chakula cha msaada kila mwaka, ukiona nchi haijitoshelezi kwa chakula ujue hao ni maskini wakutupwa.
HahahahWatanzania wote wana corona so its only right waekwe quarantine nchi yeyote duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnalazimisha muingie kwenye nchi ya watu bila kufuata taratibu zao, nyie huko mna nchi yenu na taratibu zenu, huku tuna kanuni zetu, njaa ikikuuma sana ung'ang'anie kuja huku, fuata masharti yetu upanue mdomo tukupime, na usitujie na vijikaratasi umeghushi hapo Kariokoo eti cheti cha corona.
Ndege zetu kutua Dar hazizidi umuhimu wa afya yetu.
Tukipiga hiyo ban KQ itakufa kifo cha mende. Hizo trip za kusini mwa Afrika watazisikia kwenye bomba...ndege zenu kuja kwetu ziliwapa advantage kuwaleta watalii mlokua mnawadanganya mlima upo kwenu, pia soon tunapanga kupiga ban ndege zenu kutotumia anga letu muwe mnapitia baharini au uganda route zote za kusini nyang'au nyinyi.
Kuna kitu kinaitwa international airspace Mkuu.ndege zenu kuja kwetu ziliwapa advantage kuwaleta watalii mlokua mnawadanganya mlima upo kwenu, pia soon tunapanga kupiga ban ndege zenu kutotumia anga letu muwe mnapitia baharini au uganda route zote za kusini nyang'au nyinyi.
Magu na warembo Tano Tena.View attachment 1552352
KQ inaenda kufa kibudu. Mali ya dhuluma siku zote haikai. Hili shirika lilianzishwa kwa dhuluma sasa litakufa tu maana biashara yao kubwa ilikuwa kuwaleta watalii kutoka Europe na USA kwenye vivutio vyetu. Hakuna Mtalii atakayekwenda kuona Masai Mara peke yake, lakini wapo wengi watakaopenda kuona Serengeti, Kilimanjaro, Ngorongoro, Sealous, Zanzibar pamoja na Pemba wachilia mbali mahale na vivutio vinginevyo. Imekula kwao.
omba omba ni janga la dunia, kila pahala katika dunia hii kuna omba omba hivo sijaona cha ajabu hapo bt punguzeni kujisifia uchumi mkubwa akati kila mwaka mnategemea msaada wa chakula, wananchi inafikia hatua wanapika hadi mawe.na nyinyi mnaojitosheleza mbna mmejaza omba omba kwenye nchi za wenyewe?
Omba Omba wanaletwa na matycoons wenu, wanawaweka road, wanachukua kiasi ya walichoomba, wanawalisha wavalisha, wanawapatia shelters.na nyinyi mnaojitosheleza mbna mmejaza omba omba kwenye nchi za wenyewe?
omba omba ni janga la dunia, kila pahala katika dunia hii kuna omba omba hivo sijaona cha ajabu hapo bt punguzeni kujisifia uchumi mkubwa akati kila mwaka mnategemea msaada wa chakula, wananchi inafikia hatua wanapika hadi mawe.
hahahaaaa yani nchi zina shida kuwashinda kina somalia na s.sudan zisiexport omba omba ila nyinyi mmejaza omba omba kila mahali alafu uko hapa kutetea, haha ati janga la dunia.omba omba ni janga la dunia, kila pahala katika dunia hii kuna omba omba hivo sijaona cha ajabu hapo bt punguzeni kujisifia uchumi mkubwa akati kila mwaka mnategemea msaada wa chakula, wananchi inafikia hatua wanapika hadi mawe.
hao 'matycoon' huona tu watanzania ndo wanashida?Omba Omba wanaletwa na matycoons wenu, wanawaweka road, wanachukua kiasi ya walichoomba, wanawalisha wavalisha, wanawapatia shelters.