Najibu hoja za ndugu Humphrey Polepole kuhusu mwelekeo mpya wa nchi yetu

Walau wewe umetoa na suluhu ya mjadala

Kifupi bwana polepole kanyang'anywa tonge mdomoni so anajaribu kutuliza maumivu kwa kukosoa

Siyo mchezo kutoka VITAMU HADI VICHUNGU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ad hominen fallacy!!!
Mkosoe Polepole kuhusu hoja zake.
Hapa umemshambulia yeye badala ya kushambulia hoja zake kwa kupitia hoja zako.
 
Hoja kuu ya Polepole ni unyonyaji na ukandamizaji unaofanywa na nchi za Magaribi (Ulaya na Marekani) kwa nchi masikini kama zetu.
Moja ya makala yenye akili niliyopata kusoma humu JF kwa mwaka huu 2021.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…