Mkuu MwiH1.Unaonekana unafuatiliaga sana movie jee ni ipi latest uliyoona ni kali?
2.Tukikukabidhi leo hii JF uwe mmiliki wake jee ni kitu gani ungeongeza na kipi ungeondoa na kwa nini uongeze hicho ama upunguze kile?
3.Kwa siku minimumu na maximumu unalala masaa mangapi?
4.Jee katika jamii inayokuzunga ni jambo gani hukukela zaidi pale unapoliona/kukumbana nalo?
5.Idea yako ya kutafri vitabu kuja lugha adhimu ya kiswali imefikia wapi?
End Justify Mean
Mkuu1. Ni swali gani gumu kwako? Na ni kitu gani hupendi watu wakijue kukuhsu?
2. Ni kitu gani kimewahi kukufurahisha kwenye maisha yako ambacho huwezi kukisahau?
3. Kipi/ nini kinatukwamisha kwenye uchumi wa kati? Viongozi, mfumo am sisi wenyewe? Kipi kifanyike?
4. Upi mtizamo wako wa kuongozwa na chama kimoja muda mrefu? Imetusaidia ama imeongeza mgawanyiko/matabaka?
5. Tumeshuhudia kundelea kufanya vibaya kwa shule za serikali. Je, wapi tunakosea? Wazazi na muamko duni wa elimu au incentive za serikali hazikidhi mahitaji? Elimu bure?
Utaniwia radhi kama kuna replication. Kama ipo nilink na majibu husika tafadhali. Obrigado[emoji1488]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu~una ushauri gani kwa wana JF has a ukioanisha kati ya awamu ya NNE na awamu hii ya tano,ya hapa kazi tu...ktk ujenzi wa Taifa.??
~ungepewa nafasi ya kuzaliwa upya ungependelea uzaliwe nchi gani...na nani.!?
~kwa nini waliompiga Tundu Lissu risasi hawajulikani,ilhali CCTV camera zinasemekana zilishuhudia tukio.!?
~je unadhani watekaji wa MO walipewa ile bilioni ndio wakamwachia...au ilikuwaje? Nini Mirza no wako?
~'Kilimo ndio uti wa mgongo.' Je unadhani hii Sera bado inazingatiwa!?
~Una ushauri gani kwa Mh.Rais,hasa ukiwakilisha kundi LA vijana?
~Watanzania wengi hawana bima ya afya na hata iliyopo in gharama kubwa,nini kifanyike.!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku nasikia wale Wakristo wa madhehebu ya Kipentekosti wakikemea kunywa pombe. Je Biblia yetu inasemaje kuhusu kunywa pombe na je unakubali je unakubali kunywa pombe si dhambi?Habarii
Jana niliulizwa maswali kwenye uzi flani as HardTalk Bahati mbaya sikuweza kuyamaliza yote kutokana na simu kuisha chaji. Hivyo basi Ningependa kujibu maswali yote yaliyobaki na kama kuna swali lolote uliza.. about Psychology, Theology, Philosophy, Science and technology, Politics, Entertainment, Cosmology, Economy etc etc...
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mhhhh??Nitajibu Maawali jioni kwasasa niko mbali na simu!! Endelewni kuuliza
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Habarii mkuuConspiracy Theory ni nini?
Mtu mwenye personality disorder anakuwaje?
Salama Mkuu,Habarii mkuu
Ledada
Conspiracy theory ni Nadharia inayoeleza tukio au mpango wa siri ambao umewekwa. Yaweza kua kweli au si kweli
●Mtu mwenye personality disorder hua fikra zake haziko vizuri pia hua anashindwa kuongoza hisia zake mara nyingi anakua na hofu ya kutengwa na wale anaowapenda (anayempenda)
Nimekujibu???
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
No kitendo cha kua macho na ukafanya shughuli zako , na kulala usingizi huku ukiota ndoto unaendelea na shuguli zakoHakuna umbali ni kitendo cha kuhama
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk