Najibu maswali yenu hapa...Uliza chochote

Kila siku nasikia wale Wakristo wa madhehebu ya Kipentekosti wakikemea kunywa pombe. Je Biblia yetu inasemaje kuhusu kunywa pombe na je unakubali je unakubali kunywa pombe si dhambi?

Mkuu kwa mujibu wa imani yangu ya ukatoliki kunywa pombe si dhambi na haijakatazwa maana pombe ni kwajili ya mwili ila ulevi ndio dhambi maana ni chanzo cha maovu yote ulevi wa pombe

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Write your reply...If I'm not fit in in the circles of people what should I do?
Mkuu
Try this Tips may will help you..
•Connect With Connectors
•Meet New People Constantly
• Establish Yourself As a Giver of Value
•Commit to a Local Community
• Reach Out to People On a Regular Basis
•Know the Kind of Friends You Want in
Advance

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Nice tips

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani sana mkuu , nimekawia sana kupita humu.... Nimekupata sawia kabisa hasa issue ya elimu na mfumo wa kiungozi wa nchi na imani juu ya muumba wetu[emoji1488].... Mimi mwenyewe issue ngumu kwangu ni mapokezi ya safar iliyobakia[emoji30]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipewa Jf sasa hivi unafanya maboresho gani? Yapi ungependa kuyaboresha na yapi ungeyaondoa..
 
Ukipewa Jf sasa hivi unafanya maboresho gani? Yapi ungependa kuyaboresha na yapi ungeyaondoa..
Mkuu nimeshalijibu hili swali tayari. ni swali pana lakini ungependa kufahamu ki Content au ki Technology
 
Daah ahsabte pia mkuu Inafikitisha sana ukiwazia hii safari iliyoko mbele yetu. Tuombe rehema zake Mungu tu
 
Nashukuru mkuu nimeyapenda mjibu yako

End Justify Mean
 
Kuna mwanafalsafa mmoja alizungumzia juu ya suala la ndoa. Kwamba... Yeye anaona kuwa kwenye ndoa ingependeza zaidi endapo wapendanao wawili wakichokana waachane kila mmoja aende kupenda kwingine huko ukichoka/ ukishindwa vivohivo sepa nenda kwingine utapopenda upya... Hivi ni nani huyo nimemsahau naomba nikumbushe

Na je Unaonaje hilo wazo lake with reference to the real life situation as mahusiano/ ndoa is concerned??


Cc Smart911

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…