Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

Nenda kanisani kaombewe rafiki yangu, usimkufuru mungu kwa kuchukua hali yako, wangapi ambao ni walemavu wa viungo vyote!!! Wewe ni ngozi tuu dadaa
 
not guaranteed!
FACT IS AKATAE KUOLEWA KWA HURUMA!
atateseka maisha!
ANADESERVE KUPATA MUME ANAYEMSTAHILI!SIO WA KUMUOA OUT OF SYMPATHY AU KUKOSA CHAGUO YYE AWE SECOND AU LAST OPTION!
BIG NEHIIIII!
dada snowhite, huyu anaonyesha kukata tamaa hata post yake ya kutafuta mchumba ameonyedha kasoro nyingi ambazo sidhani kama zinawavutia wengi ushauri wangu ni mzuri tu akiufua5a akajishikize kwa jamaa yake mmojawapo akisema asubiri mpya anaweza kubahati ndio ila mara nyingi ni bora mwanamke aolewe mspema
 
Nenda hospital wangu wakupime mwanza unaweza Tunis dawa ukizingatia ushauri wa watu Kumbe unazidisha tatzo ,cha msingi Nenda ukapimwe ngozi yako mpka damu ,kwasababu huenda unamchafuko kwenye damu yako ndo mana ngozi inakua dhaifu
 
U are beautiful keep that in mind. Ngozi si kielelezo tosha. The beauty is & will always be inside you. Thats one. Pia kuhusu dawa utapata tu. Just be patient.
 
Nenda hospital wangu wakupime mwanza unaweza Tunis dawa ukizingatia ushauri wa watu Kumbe unazidisha tatzo ,cha msingi Nenda ukapimwe ngozi yako mpka damu ,kwasababu huenda unamchafuko kwenye damu yako ndo mana ngozi inakua dhaifu
Asante,nitafanya hivyo
 
Asante nitajaribu
 
Hangaika kwanza na uzima wako. Mambo ya kukosa mwenza hayo ni majaliwa. Kumbuka wapo mabinti warembo mpk wanakera, ila hawana furaha na wapenzi wao.
 
Kama wewe ni mkristo au hata kma sio mkristo ila unaamini katika maombi, tafuta watumishi wanaotoa huduma za kuombea watu, naamini ukiwa na imani watakusaidia. Kinachofanya tushindwe kupona matatizo yetu muda mwingine ni kwmb tunakosa imani tu. Ukimpata mmoja mwelezee vizuri shida yko. Binafsi naamini kma utapona. Fanya maamuzi tu wewe mwenyewe.
 
Utapata tu ataekupenda kwa hali hiyo hiyo Dada wala usijali mapenzi mbona sio uzuri jamani
Acha kumdanganya mwenzio nani atakubali kila siku kuona kovu lingekua moja au mawili labda ila hata mbu akimng'ata kovu heee [emoji15] mkuu lazima ukimbie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…