Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

Maganda ya viaz pia ni tiba yaan vyakula vya sasa vinatuathiri sana lakin tukizingatia ulaji wa chakula bora na kuepuka madawa ya madukani itatusaidia sana
 
Unasumbuliwa allergic reaction nenda hospital kubwa wataifanyia damu na sehemu ya ngozi yako culturing na watakaa watasuggest dawa za kukusaidia
 
Tatizo lako haliwezi kuisha kwa dawa za kupaka nje tu ni ngumu na tena acha kabisa.
Tatizo lako kwa kadri ya maelezo yako linasababishwa na mfumo wa homoni ktk mwili wako. Ipo tezi ambayo imeshindwa kuregurate amount of homorne to be secreted in normal form then inakuwa promoted kwa kiwango kikubwa na kuleta madhara kwako.
Tambua kuwa hisia zote tupatazo mwilini ziwe za raha,maumivu,huzuni,kucheka,hamu ya mapenzi na nyinginezo ni matokeo ya tezi kukojoa homoni vitu kama jasho na kuviingiza ktk mfumo wa damu ambapo moyo unaposukuma damu kuzungusha mwulini huzungusha na hizo homoni na ndipo tunapata hisia nilizotaja hapo juu. Kiwango cha homoni lazima kisizidi wala kupungua. Kitendo cha homoni kuzidi huweza kuleta madhara ktk miili yetu yaani alergy.
Tatizo lako linatibika sana tu ila inabidi ukutane na doctor ambaye asiwe na papara akague mwili wako vizr na kususpect vipimo ambavyo vitahusisha damu na kiwango cha homoni. Usikimbilie madaktari njaa.
Uko wapi now.
 
Nadhan humu sitaweza kukusaidia bila kukuona na kupata taarifa chache kutoka kwako sjui upo tayari
 
By
Kwa hiyo hayo makanisa ndo ya wokovu!! Acha kufagilia kanisa unalo sali Yesu hajawahi kuwa na dhehebu
 
Noted!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…