Habari bandugu naomba mnipatie altenatives ya kuufanya uso wangu uwe mgumu maana mimi ni mwanaume sipendi kuona uso wangu kuwa mlaini.shemeji/wifi yenu hupenda kunishikashika uso akisema anaupenda sababu mlaini sana,hata x girls wa nyuma walikuw wakisema uso wangu mlaini stil friends wanafunguka same ishu binafsi nikijgusa nakubali kama ya mtoto mchanga wakati nina 28 yrs now.ofcoz brothers and sisters mi binafsi nachukia sana hali hii,natumia futa la mgando tu na wala sijawai kufany scrubbing.hivyo doctors naombeni mnisaidie nifanye nini ili nipate uso mgumu mimi mtoto wa kiume sipendi hali hii kabisa.
nimesoma daah wacha nibaki hivi thanks2Wafalme5:14
Ndipo akashuka, akajichovya mara saba katika Yordani, sawasawa na neno lake yule mtu wa Mungu; nayo nyama ya mwili wake ikarudi ikawa kama nyama ya mwili wa mtoto mchanga, akawa safi.
Kasome habari hii ya Naamani aliyekuwa mkuu wa majeshi. Alipata ugonjwa wa ukoma lakini Mungua alipomponya ngozi yake ilirudi kuwa soft kama ya mtoto mchanga. Na ukumbuke huyu alikuwa mkuu wa majeshi...
Ahaaaa ndo nmeelewa sasa kumbepicha haiwez saidia kitu may b niku PM tuonane uje uishike coz picha haitaonyesha ulaini