Najichukia uso wangu

Najichukia uso wangu

Kanywe ulevi wa kienyeji halafu kafanye kazi ya kuuza mitumba kariakoo. Na uso wako ukishapayuka kama dingi wa miaka 50 wakati ukiwa na miaka 30 leta mrejesho. pumbavu kabisa
Masikini Mbavu zangu
 
Binadamu haturidhiki subiri upewe ushauri, ukishatoka michunuzi na mabaka urudi hapa tenda kwa ushauri Zaidi, mana ukishakuwa na mabaka hata huyo anaekuita mpenzi anaweza akasepa kutafuta mwanaume mwenye sura ya kueleweka, wakati wenzio wanatoa pesa kuingia saloon kufanya scrub wewe unataka kujiharibu, kama mpenzi wako anakupenda Zaidi hali ulonayo unataka nini tena??? au huo ulaini wa ngozi unakufanya ushindwe kufanya kazi zako au biashara zako?
 
Habari bandugu naomba mnipatie altenatives ya kuufanya uso wangu uwe mgumu maana mimi ni mwanaume sipendi kuona uso wangu kuwa mlaini.shemeji/wifi yenu hupenda kunishikashika uso akisema anaupenda sababu mlaini sana,hata x girls wa nyuma walikuw wakisema uso wangu mlaini stil friends wanafunguka same ishu binafsi nikijgusa nakubali kama ya mtoto mchanga wakati nina 28 yrs now.ofcoz brothers and sisters mi binafsi nachukia sana hali hii,natumia futa la mgando tu na wala sijawai kufany scrubbing.hivyo doctors naombeni mnisaidie nifanye nini ili nipate uso mgumu mimi mtoto wa kiume sipendi hali hii kabisa.

Acha utoto kipimo cha uanaume sio uso!..au una lako jambo unajitangaza hapa?..kwamba una sura nyororo?
 
Back
Top Bottom