Berlin
Member
- Jun 27, 2014
- 66
- 96
Natumai mko salama. Ningependa kushiriki nanyi wana Jf kuhusu hali yangu ya kifedha na biashara yangu. Biashara yangu imekuwa ikifanya kazi kwa mwaka sasa, lakini mapato yameanza kupungua kutoka kiwango kilichokuwa awali hadi kufikia nusu (ni miezi mitano sasa) Nina mfanyakazi niliemlipa kila siku, na pia nina kodi na mahitaji mengine ya kila mwezi. Kwa sasa, sina kazi nyingine zaidi ya biashara hii, ambayo inaonekana kuwa na changamoto kubwa.
Nina umri wa miaka 27, na hali yangu ya kifedha ni ngumu sana. Madeni ninayokabili, pamoja na malipo ya kodi na mahitaji ya kila mwezi, yanayonikosesha raha na amani (inafika hatua simu inakuwa DND muda wote) Ninaishi kwa hofu kuhusu madeni, ikiwa ni pamoja na malipo ya kodi ya mwenye frame, ambayo inasababisha mtafaruku wa kiakili.
Natamani nisikope tena lakini shida zinanirudisha kule kule, madeni kila kona hadi maduka ya mangi ya mtaani.
Nimejaribu mbinu mbalimbali za biashara, ikiwa ni pamoja na online presence , maoni ya wateja, huduma bora, na mapitio ya wateja, lakini bado sioni matokeo mazuri. Nimejaribu kusali sana na kutoa sadaka, lakini hali bado ni ngumu.
Soma Pia: What do you see yourself in the Midst of Poverty, Suffering and Despair; Katikati ya Kukata Tamaa
Bahati mbaya sana sina sehemu nayoweza pata msaada wowote.
NB:Nina miliki salon ya urembo wa wadada (nywele,make up,kucha ,lashes,dread repairing).
Nina umri wa miaka 27, na hali yangu ya kifedha ni ngumu sana. Madeni ninayokabili, pamoja na malipo ya kodi na mahitaji ya kila mwezi, yanayonikosesha raha na amani (inafika hatua simu inakuwa DND muda wote) Ninaishi kwa hofu kuhusu madeni, ikiwa ni pamoja na malipo ya kodi ya mwenye frame, ambayo inasababisha mtafaruku wa kiakili.
Natamani nisikope tena lakini shida zinanirudisha kule kule, madeni kila kona hadi maduka ya mangi ya mtaani.
Nimejaribu mbinu mbalimbali za biashara, ikiwa ni pamoja na online presence , maoni ya wateja, huduma bora, na mapitio ya wateja, lakini bado sioni matokeo mazuri. Nimejaribu kusali sana na kutoa sadaka, lakini hali bado ni ngumu.
Soma Pia: What do you see yourself in the Midst of Poverty, Suffering and Despair; Katikati ya Kukata Tamaa
Bahati mbaya sana sina sehemu nayoweza pata msaada wowote.
NB:Nina miliki salon ya urembo wa wadada (nywele,make up,kucha ,lashes,dread repairing).