African princess
Senior Member
- May 15, 2018
- 110
- 189
Naam Mkuu...nimefikaVladimirovich Putin unaitwa huku aisee kuna mtu amefunguka huku
Nimesoma ,nimekuelewa , nitakutafuta mimi mwenyewe.Jaman hisia za mapenzi nisawa na kikohozi huwezi kuzificha . Nikiwa kama mschana pia nina moyo unaotaman kua namtu unayempenda.
Sijui ni mbaba au kijana ila Vlad popote ulipo tambua ,Nimetokea kukupenda sana, hisia nilizo nazo siwezi zielezea hapa na sikuwah kua nahisia kama hizi,Vlad nakupenda Baba, nmekua naogopa kukuanza nikihofia utakuja Kunishushua humu ila sina jinsi nmefikia ukomo wa uvumilivu na uoga . Nisaidieni kumfikishia ujumbe .
Samahani kwa wote niliowaudhi kwa uzi huu, sasa najisikia Roho kutulia ,hisia za mapenzi jaman mziache tu ,kitu kinakereketa rohon kama vile mjamzito na kichefu chefu.
Nipo shem nimekumis hatar...niambie shem Darling wanguHahahaha Shem mekumis ujue
Hajar umenichekesha sanaa..mambo ya " Asante kaka kwa kunipenda ila nimeshawaiwa??"Hahaaaa. Kuna kitu kimenichekesha yaani nimecheka lol.
Kumbe hata na weye Vladmir Shukrani kwako inastahili eeee. Wewe si ndio muumuni wa kuzikataa hizo Shukrani imekuwaje na weye umesema shukrani huoni kama unamchoresha mleta uzi.
Hebu nishushie gazeti huenda nikakuelewa zile lawama zako kwa watu wanaoanzishiwaga nyuzi humu kisha wakaishia kusema ahsante au shukrani.
[emoji23] [emoji56]Daaahh noma.. Ngoja sasa nimfate PM ,nijirishishe Mkuu .
Hajar umenichekesha sanaa..mambo ya " Asante kaka kwa kunipenda ila nimeshawaiwa??"
una kazi ya kujibu hapa aiseeNaam Mkuu...nimefika