AVRAM
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 616
- 885
Habari zenu wadau,
Hivi hii timu ya taifa huwa inakosea wapi, katika hali ya kawaida si mshabiki sana kiasi ya kuwa napoteza muda kuangalia game za mpira, hata pale inapocheza timu ya taifa ya tanzania. lakin huwa napata taarifa kwa bahati kuhusu maendeleo ya hii timu yetu. Ila kila nikijidai kujifanya sihusiki moyo unansuta nabaki tuu na ule uzalendo wa ndani kabisa kuwa bado mm ni mtanzania na lazima niumie moyo na nafsi kuhusu kufanya vibaya kwa hii timu.
Hii timu kwa kweli huwa inapatiwa kila kitu lakin ikienda hola hainaga inachokifanya, wao ni kufungwa tuuuuu, na hawa wachezaji wakiwa kwenye timu zao utasikia mijina mikubwa mikubwa wanasifiwa kwenye magazeti sasa inakuaje wakienda huko kupambana na wenzao wanachapwa tuuuuu.
Aaaaaaaa michezaji hiii hainaga lolote ukifuatilia game za hii timu ipasavyo lazima uwe na marazi ya moyo ama kupata stresses za ajabu sana.
Hivi hii timu ya taifa huwa inakosea wapi, katika hali ya kawaida si mshabiki sana kiasi ya kuwa napoteza muda kuangalia game za mpira, hata pale inapocheza timu ya taifa ya tanzania. lakin huwa napata taarifa kwa bahati kuhusu maendeleo ya hii timu yetu. Ila kila nikijidai kujifanya sihusiki moyo unansuta nabaki tuu na ule uzalendo wa ndani kabisa kuwa bado mm ni mtanzania na lazima niumie moyo na nafsi kuhusu kufanya vibaya kwa hii timu.
Hii timu kwa kweli huwa inapatiwa kila kitu lakin ikienda hola hainaga inachokifanya, wao ni kufungwa tuuuuu, na hawa wachezaji wakiwa kwenye timu zao utasikia mijina mikubwa mikubwa wanasifiwa kwenye magazeti sasa inakuaje wakienda huko kupambana na wenzao wanachapwa tuuuuu.
Aaaaaaaa michezaji hiii hainaga lolote ukifuatilia game za hii timu ipasavyo lazima uwe na marazi ya moyo ama kupata stresses za ajabu sana.